Tabora
Des 14,2013
JESHI La
polisi mkoani Tabora limesema kuwa
manispaa ya Tabora linaongoza kwa vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa
kijinsia.
Haya
yalisemwa na kamanda wa polisi mkoa wa Tabora (RPC)Peter Oumma ,alisema jumla
ya matukio 394 ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia yameripotiwa mkoani hapa, katika vituo vya polisi huku manispaa ya
tabora ikiongonza kwa vitendo hiyo.
Kamanda
oumma aliasema hayo kwenye kilele cha madhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili
na uyanyasanji kijinsi Duniani
yalifanyika katika kituo kiku cha polisi mkoani hapa .
Katika
madhimisho hayo kamanda uomma akihutumbia baadhi ya mwananchi waliodhuria mahadhimisho
hayo alisema kuwa manispaa ya Tabora, inaongonza kwa matukio 94 kati 394 ambayo
yalipotiwa January mwaka huu hadi Desemba mwaka huu.
Aidha
kamanda Peter uomma katika matukio hayo 94 yanaohusu ukatili na unyanyasaji wa kijinsia
kesi 60 zilifunguliwa vituo vya polisi kuhusu kesi za ubakaji.
Kamanda
uomma amewataka mwananchi wa mkoa wa Tabora na jeshi la polis mkoa na wadau na
Taasisi za kirai kuunga mkono mapambano haya yakiwa ni pamoja na kusaindia kuwafikisha katika vyombo, vya sheria wahusika
wote wanaofanya vitendo hizo vya unyanyasaji huo .
Kamanda Peter
oumma amesema kwamba,jeshi la polisi limefunga ofisi ambayo itakuwa maalum kwa
ajili ya kushughulika na matukio ya ukatili wa kijinsia katika mkoa wa Tabora
na wilaya zake zote,bila ubanguzi wowote.
Mwisho
No comments: