KATIBU MKUU WA TAIFA WA CCM ABDULRAHMANI KINANA (MCC) AKIFUNGUA SINA LA WAKEREKETWA WA MKOMBOZI SACCOS LTD JANA10,9.2013 WILAYANI KAHAMA WAKATI WA ZIARA YAKE YA MKOA WA SHINYANGA AMBAYO ILIAZIA WILAYANI KAHAMA AKITOKEA MKOANI TABORA WILAYA NZEGA.
MWENYEKITI WA CCM MKOA WA SHINYANGA MH KHAMIS MGEJA MWENYE KOFIA KUSHOTO KATI NI MWENYEKITI WA CCM WILAYA KAHAMA MABALA MLOLWA MWENYE MIWANI NI MKUU WA MKOA WA SHINYANGA ALLY NASSOR RUFUNGA JANA WAKIWA KATIKA KIJIJI CHA ISAKA KATA YA ISAKA WAKATI WAKIMSUBIRI KATIBU MKUU WA CCM TAIFA ABDURALHAMANI KINANA.
KARIBU MKOANI SHINYANGA HAYO NDIYO MANENO YA MWENYEKITI WA CCM MKOA WA SHINYANGA KHAMIS MGEJA WAKATI WA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU WA CCM TAIFA ABDURALHAMANI KINANA WAKATI WA KUINGIA MKOANI SHINYANGA.
KATIBU MKUU WA CCM ABDURALHMANI KINANA AKISALIMIANA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI WA KAHAMA JANA WAKATI WA ZIARA YAKE YA MKOA WA SHINYANGA ALIYOAZA JANA ALIMSHIKA MKONO NI AFISA UTUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI GUNDU MALULU
KATIBU MKUU WA TAIFA CCM AKISALIMIANA ANA AFISA USHIRIKA WA HALMASHAURI YA MJI MARCO NZINGULA JANA WAKATI WA ZIARA YAKE YA KWANZA WILAYANI KAHAMA MKOANI SHINYANGA.
KATIBU MUENEZI WA CCM TAIFA MOSES NAUNYE AKICHENZA NGOMA YA KISUKUMA YA MANZWEZI MWENYE KOFIA NA KIBUYU.
MWENYEKI WA CCM MKOA WA SHINYANGA MH KHAMIS MGEJA AKIUTUBIA JANA KATIKA VIWANJA YA POST KATA YA ISAKA NA MKUKARIBISHA MGENI RASMINI.
KATIBU MKUU WA CCM TAIFA ABDURLHAMANI KINANA AKISALIMIANA NA MKURUNGEZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA USHETU ESTABELA CHILUMBA
KATIBU MUENEZI WA CCM TAIFA MOSES NAUNYE WAKATI WA MKUTANO WA HADHARA JANA KWENYE VIWANJA VYA( CDT)
KATIBU MUENEZI WA CCM TAIFA MOSES NAUNYE AKISALIMIA NA DIWANI WA KATA YA MWENDAKULIMA KUPITIA CHAMA CHA TLP MTAMBO MAJAMBI
KATIBU MKUU WA TAIFA CCM ABDURLHAMANI KINANA AKIUTUMBIA MKUTANO WA HADHARA KWENYE VIWANJA VYA CTD MJINI KAHAMA
WANAWAKE WA MKOMBOZI SACCOS LTD WAKISALIMIANA NA KATIBU MKUU WA CCM JANA WAKATI WA UFUNGUZI WA SACCOS HIYO JANA
Slider
WATAALAM WA MADINI YA DHAHABU NCHI ZA UKANDA WA MAZIWA MAKUU (ICGLR) WAKUTANA ARUSHA
Posted by Mohab Dominic
Wataalam wa Madini ya Dhahabu kutoka Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR wamekutana Jijini Arusha ili kujadili masuala mbalimbali yanayohusu madini ...Mwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa
Posted by Mohab Dominic
Mwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa Ujumbe wa Yona Kabla ya kifo chake.... "Nimekuwa kwenye matatizo ya ndoa k...Baba Awapa Adhabu ya Ajabu Watoto Wake.
Posted by Mohab Dominic
Baba Awapa Adhabu ya Ajabu Watoto Wake. Mwanamume mmoja ametoroka nchini Burundi baada ya kuwapa adhabu ya kikatili watoto wake wawili ambao inada...MAJAMBAZI WATANO WALIOFANYA MAUWAJI KIBITI WAUWAWA KAHAMA.
Posted by Mohab Dominic
kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga Simon Haule Akionyesha siraha ilikuwa inatumika na majambazi Haya ndiyo mabomu w...
Kimataifa Habari
Wasichana Waliotekwa na Boko Haram Wagoma Kurudi Nyumbani
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicWasichana Waliotekwa na Boko Haram Wagoma Kurudi Nyumbani Kundi la wanamgambo wa Kiisl...
Read MoreUhuru Kenyatta atangazwa mshindi wa kura ya urais, Raila Odinga apinga
0 comment 11 Aug 2017 - Mohab Dominic Read MoreBill Gates achukua tena uongozi wa kuwa mtu tajiri duniani
0 comment 29 Jul 2017 - Mohab Dominic Read MoreIran yafanikiwa kuifanya jaribio roketi ya kubeba setilaiti
0 comment 28 Jul 2017 - Mohab Dominic Read More
habari
WATAALAM WA MADINI YA DHAHABU NCHI ZA UKANDA WA MAZIWA MAKUU (ICGLR) WAKUTANA ARUSHA
0 comment 28 Mar 2018 - Mohab DominicWataalam wa Madini ya Dhahabu kutoka Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR wamekutana Jiji...
Read MoreMwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreMAJAMBAZI WATANO WALIOFANYA MAUWAJI KIBITI WAUWAWA KAHAMA.
0 comment 06 Nov 2017 - Mohab Dominic Read MoreBREAKING NEWS: VIONGOZI WANNE WA CUF WAMEFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GALI
0 comment 06 Sep 2017 - Mohab Dominic Read More
Habari Za Mastaa
Hii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM Mjasiriamali na Mwanamitindo maarufu Bon...
Read MoreHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM Mjasiriamali na Mwanamitindo maarufu Bon...
Read More
Michezo
Ronaldinho Gaucho Atangaza Kustaafu Kucheza Soka
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicRonaldinho Gaucho Atangaza Kustaafu Kucheza Soka Mchezaji wa soka wa kimataifa wa Braz...
Read MoreFAINAL ZA WAKILI NKUBA AMBASSADO FC WAIBUKA WASHINDI
0 comment 08 Sep 2014 - Mohab Dominic Read More
simulizi za kusisimua
USILIE NADIA SEHEMU YA ISHILINI NA MOJA(21) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicUSILIE NADIA SEHEMU YA ISHILINI(20) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreUSILIE NADIA SEHEMU YA KUMI NA TISA(19) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreUSILIE NADIA SEHEMU YA KUMI NA NANE(18) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read More
Home
»
»Unlabelled
» ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM MKOANI SHINYANGA
MOHABMATUKIO.BLOGSPOT.COM's Admin

We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Post
-
Baba Awapa Adhabu ya Ajabu Watoto Wake. Mwanamume mmoja ametoroka nchini Burundi baada ya kuwapa adhabu ya kikatili watoto wake wawili ...
-
Baadhi ya kinadada wanafanya biashara za ngono . Mmoja wa dada poa akiwa katika ofisi yake kusubiri wateja wake. Tupo kazini ...
Author

Comments
- KaranpccrackHere at Karanpccrack, you will get all your favourite softwa… more
- wasem khaniI guess I am the only one who comes here to share my very ow… more
- softwearI am very thankful for the effort put on by you, to help us,… more
- Anonymous You manage to go above and beyond for every piece of job th… more
- hitproversion.comI have to say I am impressed. I rarely come across such an i… more
No comments: