sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » BINT AUWAWA KIKATILI SENGEREMA NA KUTUPWA MAENEO YA MAKABURI SENGEREMA

 Askari kazu waliofika eneo la makaburi ambapo bint huyo aliuwa kinyama na watu wasifahamika Kumradhi kwa picha hizi

 Askari akiangalia kwa makini mwili wa dada huyu ambaye ameuwa kikatili na watu wasifahamika kumradhi kwa picha hizi
 kuradhizi  kwa picha hizi hivi ndiyo bint wa watu alivyouwawa kinyama
 hee mwenyezi mungu  ilaze roho ya huyu dada peponi kuradhizi kwa picha hizi
.


Bint moja kakutwa kauwawa  maeneo ya mkaburi ya kata ya nyatukala  na maiti yake kuwachwa pembezoni mwa kaburi.

Akitoa tarifa mtendaji wa kata nyatukala.ambaye pia ni Diwani mh Adamu akisimulia mkasa huo hali halisi juu ya mkasa huu alidai kuwa tukio hilo lilitokea siku ya jumamosi  kuamia jumapili ,anasema wao walipata habari hizi siku ya jumapili.

Akifafanua zaidi mh adamu alisema kuwa baada ya kuona hali hiyo walibidi wafanya masiliano na jeshi la polisi ili wawenze kuja eneo hilo la tukio.
Aidha baada ya kufika Askari hao eneo la tukio hilo na kuona mwili huo waligundua katika mwili wake marehemu alipingwa na kitu kizito nyuma ya kisongo chake kichwani na maeneo ya mabenga yake .

Mh Adamu alizidi kusema kuwa kutokana na hali hiyo ya kuvuja damu nyingi ndiko kumesababishwa Bint huyo kukutwa na mauti hayo .
Aidha Mtendaji huyo amesema kuwa chanzo cha mauaji hayo nib ado ni kitendawili katika kata hii na kusema kuwa chazo cha tukio hili halisi ni bado na jeshi la polisi enaendelea na uchunguzi wa tukio hilo.

 Mwisho

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply