sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MJUWE MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAHAMA MJINI



Mimi ni mtoto  wa Mtemi Kishimba Nkandi kibela mzaliwa wa kata ya zongomera ni mezaliwa mwaka 1958

Mimi ni mfanyabiashara ndani na nje ya nchi lakini pia ni mwanachama mtiifu wa chama cha mapinduzi na nimekuwa Nikishiriki shughuli za kijamii kama ifuatavyo


A.   Ujenzi wa shule  kishimba sekondari 

B.   Ujenzi wa shule   sekondari ya zongomera (ISUNUKA)

C.   Shule ya msingi Isagehe

D.  Ujenzi wa shule ya msingi mpera

E.   Zahanati ya zongomera 

F.    Zahanati ya isagehe.

G.  Uchangiaji wa dawa kwa wagonjwa wasiojiweza katika hospitali ya wilaya  kahama.

H.  Kusaidia kukomboa chama cha ushirika KACU na ginnery ya Mhongolo   kahama.

Ndugu wanachama wenzangu naomba kura zote ili niweze kuleta maendeleo zaidi katina jimbo letu la kahama mjini.

“KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI”


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply