sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » KICHANGA CHAOKOTWA POLINI KINA SIKU 4 KATIKA POLI LA WENDELE WILAYANI KAHAMA KIKIWA HAI

kichanga kikiwa hospital ya wilaya ya kahama katika wodi namba 6

 Afisa Maendeleo ya jamii katika hospital ya halmashauri ya mji alinda bwakea akieleza hali ya kichanga hicho kuwa ni nzuri kwa sasa 




Mwanamke moja mkazi wa kata ya wendele juu, wilayani kahama shinyanga Consolath paschal  limeokota mtoto  mchanga anayekadiriwa kuwa na wiki moja  katika poli la  Msitu wa wendele wilayani hapa.

Akiongea na nipashe consolath alisema ilikuwa majira ya asubuhi saa tano nilikuwa nimekwenda kutafuta kuni wakati wa kwenda huko kwenye huo msitu ambao upo mwisho na shule ya msingi wendele nilikutana na wanafunzi wa shule hiyo wakaniambie kuwa kuna katoto mama kanalia huko polini.


Akifafanua zaidi consolath alisema baada ya watoto hao kunieleza nilikwenda moja kwa moja mpaka hapo kalipo hapo katoto na kukakuta kiwa kanalia sana, nao kalikuwa na njaa ya maziwa.na kukachukuwa hapo chini kakiwa kamejisaidia.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply