sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » Asilimia 60 ya watoto China waliozaliwa mwaka huu ni wa pili

 Mamlaka kuu nchini China imetangaza kuwa zaidi ya asilimia 60 ya zaidi ya watoto milioni saba waliozaliwa mwaka huu, ni watoto wa pili ambao familia zilikubaliwa kuzaa.


Hayo ni baada ya kibali cha sera ya kudhibiti idadi ya watu.
Sheria ya kuwaruhusu watu wanaoishi mijini kuzaa mtoto wa pili, ilimaliza mfumo uliodumu miongo kadhaa wa kuzitaka familia kuzaa mtoto mmoja pekee.
Hata hivyo, familia nyingi bado hazina haraka ya kuzaa mtoto wa pili, kwa sababu ya gharama kubwa ya masomo, inayoyumbisha juhudi za serikali ya kutaka kuongeza idadi ya watu, wenye nia ya kuwasaidia wazee ambao ni wengi sana nchini China.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply