Rais Magufuli leo July 25, 2017 ameendelea na ziara yake ambapo alikuwa katika Mkoa wa Singida alikozindua Barabara ya Manyoni – Itigi – Chaya yenye urefu wa km 89.3 ambapo mbali na kufanya uzinduzi huo alipata nafasi ya kuhutubia wananchi.
Nimekusogezea mambo 7 makubwa kati ya mengi aliyozungumza kwenye hotuba yake'Pengine nikiondoka mimi hakuna atakayekuwa
kama mimi, nasafisha njia ya Rais atakayekuja baada ya mimi'
Ni
lazima niyatapike yote haya, nikikaa nayo nitapata presha bure, ila wale
walioyafanya wakumbuke na madhambi yao'
Suala la ubinafsishaji mimi silipendi kabisa, siwezi nikawalaumu
waliofanya hivyo lakini pia siwezi nikaacha kusema' – 'Nataka Tanzania hii iwe kama Ulaya na
tutafika tu, lakini ili tufike huko ni lazima tutabanana kweli kweli'
Rais Wananchi
waliojenga kwenye hifadhi ya reli waanze kujiandaa kisaikolojia, wanaweza tu
kuanza kubomoa taratibu nyumba zao
Rais Niliporudishwa
wizara ya ujenzi nilimfukuza Chief Executive Officer ndani ya siku 3 kwa sababu
ya matumizi mabaya ya fedha'
Wengine mmewachagua lakini wanaongelea ya mambo
Dar es salaam tu kosea kuoa unaweza kutoa talaka lakini usikosee kuchagua -
Rais @MagufuliJP
|
habari
Habari Za Mastaa
Michezo
simulizi za kusisimua
Home
»
habari
»
matukio
» TOP STORIES “Nikiondoka hakuna atakayekuwa kama mimi” – kauli 7 za Rais JPM Singida leo
MOHABMATUKIO.BLOGSPOT.COM's Admin
We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Post
-
HISTORIA YA MAREHEMU MCHUNGAJI MTIKILA, JINSI ALIVYOANZA SAFARI YA MAISHA YA SIASA TANZANIA MCHUNGAJI ...
-
hii ndiyo safari ya mwisho ya mpendwa wetu hapa duniani Sylyestar Nkwabi Ndegesele kijijini kwao Chona Hii ndiyo nyumba yake y...
No comments: