headlines

sponsor

sponsor

Slider

  1. 1
  2. 2
  3. 3
  4. 4
Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WAZIRI MKUU MAJALIWA ASHUHUDIA LORI LILILOTUMBUKIA MTO SONGWE, MSAFARA WAKE WASIMAMA KWA MUDA
 Mohab Dominic

 


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  akipenya  ili kuvuka  katika daraja la mto Songwe kwenye mpaka wa  mikoa ya Mbeya na Songwa  baada ya Lori lililokuwa limebeba vinywaji baridi   kupinduka katika  daraja hilo na kuziba barabara.   Ajali hiyo ilisababisha msururu mrefu wa magari  yaliyokuwa yakitoka Tunduma na yale yaliyokuwa yakitoka Mbeya Julai 24, 2017. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

  1. Msururu wa magari uliosababishwa na  ajali ya lori lililopinduka  kwenye daraja la mto Songwe katika barabara Mbeya- Tunduma Julai 24, 2017. Lori hilo lilikuwa limebeba vinywaji baridi.

«
Next
Rais Dkt John Magufuli Amtolea Uvivu Lissu..Msikie hapa mwenyewe
»
Previous
MGODI WA BULYANHULU WALIPA USHURU WA MRAHABA MILIONI 460 HALMASHAURI YA MSALALA MGODI WA ACACIA BULYANHULU WALIPA SHILINGI MILIONI 460 YA USHURU WA HUDUMA KWA HALMASHAURI YA MSALALA
Pages 22123456 »

No comments:

Leave a Reply