sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » ANGALIA MATUKIO YA WAKAZI WA MJI WA KAHAMA WALIVYOJITOKEZA KUPIGA KURA

 Asubuhi ya leo mji wa kahama maduka yote yamefungwa na kuna watu kabisa katika mabarabara.
 Hiindiyo hali halisi ya kahama leo siku ya uchaguzi mkuu wa Rais Ububge na Madiwani
 Hivi Ndivyo Maduka yalivyonekana
 Hata hivyo eneo la soko la wakulima hali ilikuwa hiyo,watu walifanya manunun toka jana ili wajitokeze kwa wingi siku ya leo.
 Hali ilivyokuwa katika vituo vya kupigia kura hiki ni kituo namna moja shule ya msingi Mbulu kata ya Mhongolo
 Moja wa mpiga kura akipata maelekezo kwa kiongozi msimamizi wa kupiga kura katika shule ya msingi mbulu kahama
 Mchana hali ilikuwa kama hivi misitali ilikuwa na watu wachache baada ya zoezi zima katika kata ya mhongolo kwenda vizuri
 Msimamizi wa kituo cha kupiga kura akisubiri wapiga kura

 Hata hivyo katika hospitali ya wilaya ya kahama Hudumma nazo zilisimama kama inavyonekani kuwepo kwa mwitikio mkubwa wa wananchi kujitokeza kupiga kura
 Ulinzi nao ulimalishwa na jeshi la polisi
 Haya ndiyo baadhi ya Magari ya Polisi yakiwa Tayari kwa kuuakisha Amani na Fujo hakuna na wananchi wamesikia wito wa kutokaa katika vituo mita Mia mbili
 Ulinzi poa
 Usalama kwanza kama jinsi magari ya polisi yakiwa katika barabara za mji wa kahama kuangalia usalama wa wapiga kura
 Eneo la kata ya Nyihongo kituo cha Veo ambapo baadhi ya wapiga kura kukosa majina yao
 Baadhi ya wapiga kura wa kata ya Nyihongo baada ya kukosa majina yao kwenye Daftari la wapiga kura
 Hali Ndiyo inyo ni kiweka tu
 Nachangua Rais wangu
 Hata hivyo kila jambo huwa alikosi kasoro mihuri nazo ilikuwa ni tatizo kama jinsi inayoneka kwa msimamizi wa chuguzi kituo cha Veo kata ya Nyihongo
 Wacha Nipigie Rais wangu
Msimamizi wa kituo cha Nyihongo akiangalia majina ya wapiga kura majina yao .

Hata hiyo mkurungezi wa Halmashauri ya Mjin wa kahama Enderson amesema kura hizo kazoro zipo na viongozi wote wa vyama wanalijuu suala hilo na pia suala majini ni la nchini zima na siyo kahama alisema mkurungezi wa usimamizi wa uchanguzi wa jimbo la kahama

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply