sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MAELFU YA WAUMINI WA KANISA KATOLIKI SHINYANGA WAMZIKA PADRE JOSEPH MAYUNGA

 Baba ASkofu Ruwaich akiweka ishara ya msalamba katika kaburi la padre joseph mayunga
 Mapadre wa jimbo kuu la mkoa wa shinyanga wakishusha mwili  wa marehemu padre joseph mayunga .

Baba Askofu Ruwaich akiongoza ibada ya mazishi ya padre joseph mayungu katika kanisa kuu la Ngongolo kwenye makaburi ya mapadre katika kanisa hilo .

Mapadre wa jimbo kuu la shinyanga wakiwa na baba askofu Ruwaich wakati wa ibada ya mwisho kanisani .
Mapadre wa jimbo kuu la shinyanga wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa marehemu padre joseph mayunga kwenda makaburini .

Baba Askofu mwenye kofia  nyekundu akitoa sala ya kuombea mwili wa padre joseph mayunga .
Mapadre wa  jimbo kuu shinyanga wakiwa katika alter .
Mapadre wa wakisali misa ya mazishi ya padre joseph mayunha katika kanisa kuu la Ngongolo
Masistar wa jimbo kuu la shinyanga wakiwa katika mazishi ya padre joseph mayunga wakiwa na kwenye ibada.

Baba Askofu Ruwaich akimeshika kitenzo cha kubariki kaburi kwa manukato kama ishara ya imani yake .
                                          
Hili ndiyo  Nyumba ya mwisho ya Padre Joseph mayunga katika 
 makaburi ya mapadre Ngongolo.
 .
Baba ASkofu Ruwaich akisali  sala ya mwisho katika kaburi la padre joseph mayunga . picha zote na mohab Dominick

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply