sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » SSIA SONGAMBELE KUOKOA WAKAZI WA KATOLO KUDHIBITI UOTO WA MTO KABEHELELE

 katibu  wa SSIA justine ishengoma akionyesha baadhi viongozi jinsi uoto wa asili ya mto kabehelele mwenye sharti la kitenge ni afisa tarafa wa Butundwe.
 Mwenye sharti la kitenge ni afisa tarafa wa Butundwe kassim Ramadhani  akionyeshwa baadhi ya maeneo yaliolimwa magimbi na mahole katika uoto wa asili wa mto kabehelele .
 Hivi ni baadhi ya visima ambavyo vimetupiwa nywele za saloon katika eneo la mto kabehelele jambo ambola shirika la  SSIA kuona suala hili ni janga la wakazi wa katolo .
Fatilia habari hii kwa ukaribu zaidi

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply