sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WANACHI WALALAMIKI HALMASHAURI YA MJI KWA KUTOZOA UCHAFU KATIKA MAENEO YA DAPO


 Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa sokola mary sumuni Kupitia chama cha maendeleo chadema  (umarufu Mama  mchungaji )akisitiza suala uzoaji wa taka katika Dapo la majengo sokola ofisini kwake na waandishi wa habari .

 Mary sumuni mama mchungaji akisisitiza kufanya usafi kwa kuamashisha wananchi wa mtaa wa sokola na mjumbe mwenye kofia chancella sumer akisikiliza maelezo toka kwa mwenyekiti wa mtaa mary sumuni ofisini kwake majengo.
 
Eneo la Dapo  ambalo wakazi wa maeneo hayo ya majengo wakilalamikia Halmashauri ya mji

 Baadhi ya kinamama wakitafuta mikaa katika Dapo hilo wakishanga mpiga picha
 Mmoja wa wakazi wa eneo la majengo akiwa na ndoo ya uchafu akiwanga nje ya Dapo Baadala ya ndani jala hilo .
 Mwenyekiti wa mtaa wa sokola Mary sumuni akionyesha baadhi ya wajumbe wa kamati juu ya uchafu huo huliokidhiri katika eneo hilo .
 
Eneo  la Dapo ilinavyonekana jinsi ilivyotapaka eneo hilo  na kusababisha haza kwa wakazi wa eneo hilo .

 Mwenyekiti akionyesha jinsi uchafu hulivyotupwa nje ya jala hilo na kuwa kila sehemu .

 Haya ndiyo maeneo ya mama lishe ya kuuza vyakula katika eneo hilo jambo ambalo ni hatari kwa afya jamii iliopo maeneo hayo .
 Hii ndiyo Bucha ya kuuza nyama eneo la Dapo ambapo limekidhili kwa uchafu na hatari kwa afya .
 Hili ndiyo Dapo kama linavyonekana ambapo mjumbe wa kati ya mtaa chancella sumer akiwa juu ya jala hilo na kuonyesha jinsi uchafu huo hulivyotapaka sehemu ya barabarani .
Mwenyekiti wa mtaa mary akionyesha jinsi eneo lilivyo kubwa kwa kila mtu kuwanga uchafu wake kila kona
 Mama huyu akiwa na ndoo yake ya kuwanga uchafu.
Mtoto huyu  ambaye jina lake alikuwenza kujulikana mara moja akiwa amebeba bakuli lenye uchafu akipeleka kwenye Dapo hilo.

Wananchi wa kata ya majengo wilayani kahama mkoani shinyanga waomba mkurungezi wa Halmashauri ya mji wa kahama kuondoa Dapo lilipo katika maeneo ya makazi ya watu.

Hayolisemwa na mwenyekiti wa mtaa wa sokola mary sumuni (Marufu kwa mama mchungaji alisema Dapo hilo limekuwa kero kubwa katika maeneo hilo kwa kuahatarisha afya za watu.

Mwenyekiti huyo alizidi kusema kuwa Dapo hilo limefanya kuzaanga kwa uchafu kila mahara hili si jambo nzuri kwa mfano hapa maeneo kuna vyakula vya kina mama malishe wanapika vyakula hapa kuna bucha za kuuza nyama na kuwa eneo hilo kutakuwa salama  kwa maisha ya wanachi wa maeneo hayo .

“Huu uchafu kuwa hapa usipoodolewa na halmashauri mimi nitaitisha mandamano makubwa  ya kuja kuondoa uchafu na kuweka ulinzi katika eneo hili na tuone kama kuna mtu anakuja kuweka uchafu hapa,na uchafu huu tutausomba uchafu wote na kupeleka ofisi kwa mkurungezi”.alisema mwenyekiti wa mtaa wa sokola.

Aidha sumuni alisema kuwa swala la usafi katika maeneo ya jamii ni la kwetu sote jamii na halmashauri kufanyakazi kwa pamoja kuna mafungu ya usafi yako wapi mpaka uchafu huu unakuwa kero kwa jamii kila moja anaweka natupa uchafu sehemu yoyote .

Baadhi ya kinamamalishe wa maeneo hayo salima juma alisema kuwa Dapo hili limekuwa kero sana hasa katika kipindi hiki cha mvua eneo hili limekuwa na shida kubwa ya uchafu na harufu mbaya ya kuoza kwa vitu ana kuhatarisha hata afya zetu na jamii kwa ujumla alisema salima .

Na kwa upande wake mkurungezi wa Halimashauri ya mji felix kimario alisema kweli Dapo hilo limekuwa kero katika eneo hilo na kwa kuwa tunasubiri mafungu ilituone jinsi gani ya kuweka suala hilo vizuri.

Aidha kwakuwa hali hiyo imekuwa kero tunaondoa uchafu huo kwa magari yetu hayo machache ilikupunguza mlundikano huo wa uchafu katika eneo hilo.
Mwisho







«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply