Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akiwekewa mkono
kichwani.
Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akiwekewa kitabu kichwani
Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akipakwa mafuta.
Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akikabidhiwa
kitabu cha injili.
Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akikabidhiwa
bakora ya kiaskofu
Rais Jakaya Kikwete akifuatilia kwa umakini ibada ya kuwekwa wakfu na
kusimikwa kwa askofu Liberatus Sangu,kushoto kwake ni mkuu wa mkoa wa Shinyanga
Ally Nassoro Rufunga,kulia kwake ni mwenyekiti wa Chama Cham Mapinduzi mkoa wa
Shinyanga Khamis Mgeja,akifuatiwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine
Matiro
Rais Kikwete akitoa salamu zake wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na
kusimikwa kwa askofu Liberatus Sangu.
Askofu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kadinali Pengo(aliyekaa katikati)
akiongoza sala ya Litania huku askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga
Liberatus Sangu akiwa amejilaza chini wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na
kusimikwa rasmi katika kanisa kuu la mama mwenye huruma la Ngokolo mjini
Shinyanga.
No comments: