sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » Uzinduzi wa wiki ya sheria wilaya ya kahama wadau mbali mbali wajitokeza,na wanafunzi wa shule za msingi

Mh Lilian Haule ambaye ameonyesha kidole akitoa maelezo katika siku ya sheria katika maeneo ya viwanja vya  National House  maeneo ya soko la wakulima na baraka nicodemasi akipata ufafanuzi juu ya masuala ya kisheria
 Siku ya sheria nchini Huduma za haki kumlenga mwananchi katika viwanja vya National House

MH Hakimu Mkuu Mfawidhi wilaya ya kahama Hermes Byarugaba akiongea na vyombo mbali mbali vya habari juu ya kuzifahamu sheria ambapo leo shughuli hizi zinafanyeka katika viwanja vya national house karibu na soko la wakulima. 

Afisa huduma kwa jamii Faridi Khalidi akiongea na wanafunzi wa shule ya msingi korongwe katika viwanja vya soko la wakulima katika mahazimisho ya kwanza ya siku ya sheria ambapo yatafanyika katika viwanja hivyo kwa siku tatu .

 Baadhi ya waheshimiwa mahakimu wakiwa katika viwanja vya national house eneo la soko la mkulima wakiwakaribisha wananchi kujua masuala ya sheria.

 Baadhi ya mahakimu wakiwa  katika viwanja vya National House mjini kahama

 MH  Hermes Byarugaba akiongea na waandishi wa habari katika viwanja vya national House mjini kahama
MH Hakimu mkazi mfawidhi wilaya Evodia kyaruzi akiongea na waandishi wa habari  juu ya umuhimu wa siku ya sheria kwa wananchi katika viwanja vya National house mjini kahama 
 
 MH Liliani Haule akiongea na wanafunzi wa shule ya msingi korongwe juu ya siku ya sheria kwa wanafunzi katika viwanja vya National House  mjini kahama

 Mwanafunzi wa shule ya msingi korongwe winnefrinda mhoja akiongea Radio kwezira na jembe Fm  juu ya kunyanyashaji wa haki  ya watoto   katika viwanja vya National  House mjini kahama

MH Hakimu mkazi mfawidhi wilaya Evodia kyaruzi akiomba wakazi wa mji wa kahama kufahamu sheria za mahakama ili kuepuka mataperi wa sheria ambapo ni kosa la kisheria.

 Mwanafunzi wa shule ya msingi korongwe  George Josepha akizumgumzia haki za watoto katika shule yao na kujua haki zao

Mwanafuzi  wa shule ya msingi korongwe Rose Saimon akiongea na vyombo vya habari juu ya siku ya haki ya watoto katika shule


Kahama 

Wananchi wilayani kahama Mkoa wa Shinyanga wametakiwa kujenga tabia ya kuitumia mahakama kama Chombo cha kupatia haki kama kichocheo cha kuimarisha dhana ya Utawala bora  hapa Nchini
Rai hiyo imetolewa na hakimu Mkuu Mfawidhi wilayani humo Hermes Byarugaba wakati wa maadhimisho ya siku ya Sheria ambayo kiwilaya yameanza kuadhimishwa katika Viwanja vya National Housing jirani na Soko la Wakulima mjini Kahama

Amesema licha ya jitihada za Serikali kuhakikisha huduma za mahakama zinaboreshwa bado kunachangamoto ndogo ndogo zinazokwamisha utendaji ambazo Serikali haina budi kuzitatua

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply