sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » TANZIA :SIMAZI ZATAWALA MAZISHI , MSIBA WA DADA YETU MPENDWA MONICA LUULO BAHATI

BWANA.ALITOA NA BWANA AMETWAA,USIKU WA KUAMKIA LEO MWENYEZI MUNGU AMEMPENDA ZAIDI DADA YETU,MTUMISHI MWENZETU MPENDWA MONICA MALUJO ,AMETUACHIA SIMANZI KUBWA WANA HALMASHAURI YA MSALALA NDUGU NA JAMAA, R I P DADA MONICA MADUKI BAHATI 


TANZAMA PICHA ZA TUKIO LA MAZISHI YA MPENDWA WETU 

 Watoto wa marehemu monica wakiweka picha marehemu mama yao juu ya jeneza nyumba kwao  mhongoro 

 Mtoto wa kwanza wa marehemu Monica Maduki picha ya mama yake juu ya jeneza 

 Babu yake na Marehemu monica Maduki mwenye sharti nyeupe 


 Mume wa Marehemu monica Bahati akianga mwili wa mke wake nyumba kabla kwenda kanisana  kwa ajili ya misa katika kanisa la majengo.  

 Mjomba wake marehemu monica maduki  Patrick mabula Akipita mbele ya jeneza kwa ajili ya heshima ya mwisho 

 Ndugu wa Marehemu wakipita mbele ya jeneza la monica kwa ajili ya kutoa heshima zao  nyumba kweke marehemu. 

 Ni Uzuni kweli mama yetu kwa heri ya kuona tena ni maneno ya mtoto wa marehemu Monica 

 Watoto wa marehemu Monica

 Uzuni watoto wa marehemu monica 





 Baba Askofu  mkuu wa jimbo la kahama Joseph Minde akitoa  maji ya baraka mbele ya jeneza na  mlango wa kanisa  kabla kuanza kwa misa takatifu 






 Mume wa marehemu ambaye amekuja mikono Marehemu Monica akiwa ndani ya kanisa kwa ajili ya misa takatifu ya kuombe maremu kabla mazishi 

 Baba Askofu wa jimbo kuu la kahama joseph mide akiendesha misa ya mazishi katika kanisa la majengo


 Baba Askofu akitoa heshima zake za mwisho katika jeneza la marehemu Momica Maduki 

 Hii ndiyo safari ya mwisho ya mpendwa wetu monica 




Nyumba yake ya  milele ya Dada yetu Mpendwa Monica 

 Baba Askofu akiweka maji ya baraka katika nyumba yake ya milele Dada yeyu mpendwa monica kabla mwili wake kuwekwa 

 Baba askofu akiweka ubani ndani kaburi kabla ya kuweka mwili wake 

 Baba Askofu akiweka mchanga kama ishara kuangwa kwa marehemu Monica 


 Mjuukuu wa marehemu monica akiweka mchanga kwenye kaburi la bibi yake 

 Kwa heri mwangu hayo ndiyo maneno ya mama yake mdogo na marehemu monica 

 Mume wa Marehemu Monica akiweka shada la maua kwenye kaburi la mke wake 

 Patrick mabula na kaka yake wakiweka shahada la maua kwenye kaburi la mtoto wao marehemu monica  









«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply