sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » KAHAMA WATEKELEZA HUDUMA ZA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA KAHAMA

 DR Bruno  Minja Mganga Mkuu wa Halmashauri ya mji wa kahama akitoa tarifaa ya huduma za  mfuko wa Afya ya jamii  CH F katika halmashauri ya kahama kwa mgeni Rasmi mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu katika viwanja vya hospital 

 Baadhi ya Watoto wenye kuishi mazingira magumu walipatiwa vitambulisho vya huduma za Afya 

 Baadhi ya wahuduma wa Afya kahama wakisikilza hotuba ya mgeni Rasmi mkuu wa wilaya ya kahama 

Wajumbe wa bodi wakiwa Dr josepha Ngowi wakati wa makabidhiano ya Vitambulisho kwa   watoto wanaishi  mazinira magumu kati ni mwenyekit wa bodi  Afya Maganga Diksoni 

Mganga Mkuu wa Hospital ya Kahama DR Bruno Minja Akisoma Taarifa ya Huduma za  Mfuko wa Afya  ya jamii  CH F na kukabidhi vitambulisho kwa watoto mwenye kuishi mazingira magumu 

 Baadhi ya Madaktali na Hudumu wa Afya wakisikiliza Mkuu wa wilaya ya kahama 

 Baadhi ya watoto wakisubiri kubidhiwa Vitambulisho vya huduma ya Afya CHF kwa ajili ya Matibabu 

 Watoto wakisubiri kukabidhiwa kadi zao za kupata huduma za Afya 

 Tunasubiri vitambulisho 

 Moja ya walemavu ambao hawana huwezo wa kupata matibabu wakisubiri kupata vitambulisho  vya huduma ya Afya C H F 

 Mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu Akiongea na watoa Huduma za  Mfuko wa Afya wa jamii  CH F katika hospitali ya wilaya na kukabidhi vitambulisho kwa baadhi ya familia ambazo hazina uwezo kwa matibabu ya Afya .

 Mkuu wa wilaya akikabidhi moja ya familia kitambulisho cha huduma ya Afya 

 Kijana Ramson jacob mkazxi wa nyahanga akikabidhiwa  kitambulisho chake na mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu 

Stela Jacob akipokea kitambulisho chake cha huduma ya Afya toka kwa mkuu wa wilaya ya kahama kwa ajili ya Huduma ya Afya 


 Asante kwa kitambulisho 

 Asante mkuu wa wilaya kwa Huduma ya kupatia kitambulisho cha huduma ya Afya 

Mwenyekiti wa Bodi ya AFya Dickson Maganga akitoa shukrani kwa Mgeni Rasmi kwa kutoa vitambulisho kwa watoto  wenye kuishi mazinira magumu 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply