Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan, anatarajia kufanya ziara rasmi ya siku tatu kuanzia tarehe
05,Juni, 2017 Mkoani Mara.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkuu wa kitengo cha habari
na Mawasiliano mkoani huo inasema, Mhe Samia atatembelea Wilaya ya
Tarime, katika Kituo cha Afya cha Nyamwaga kinachojengwa na wananchi kwa
msaada wa Mgodi wa Acacia North Mara.
Pia, Mhe. Makamu wa Rais atapata fursa ya kutembelea Bonde la Mto
Mara kunakokusudiwa kuanza kilimo cha miwa na ujenzi wa kiwanda cha
sukari. Mchana siku hiyo hiyo atafanya mkutano wa hadhara katika Kijiji
cha Bisarwi; katika eneo hilo kunakusudiwa kujengwa kiwanda cha sukari.
Aidha tarehe 6/6/2017 Mhe. Makamu wa Rais ataenda Wilaya ya Serengeti
ambapo ataweka jiwe la msingi katika Hospitali ya Wilaya, mchana
atafanya Mkutano wa Hadhara katika Uwanja wa Mbuzi, Mugumu mjini.
Tarehe 7/6/2017 Mhe. Makamu wa Rais atakuwa Musoma ambapo ataweka
jiwe la msingi kwenye barabara ya km.9.9 inayojengwa kwa kiwango cha
lami katika Manispaa ya Musoma. Pia atatembelea kiwanda cha Samaki cha
Musoma Fish Processors (T) Ltd na kufanya Mkutano wa Hadhara katika
uwanja wa Mukendo Musoma Mjini.
Hii ni mara ya kwanza Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa na ziara rasmi Mkoani Mara.
Slider
WATAALAM WA MADINI YA DHAHABU NCHI ZA UKANDA WA MAZIWA MAKUU (ICGLR) WAKUTANA ARUSHA
Posted by Mohab Dominic
Wataalam wa Madini ya Dhahabu kutoka Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR wamekutana Jijini Arusha ili kujadili masuala mbalimbali yanayohusu madini ...Mwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa
Posted by Mohab Dominic
Mwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa Ujumbe wa Yona Kabla ya kifo chake.... "Nimekuwa kwenye matatizo ya ndoa k...Baba Awapa Adhabu ya Ajabu Watoto Wake.
Posted by Mohab Dominic
Baba Awapa Adhabu ya Ajabu Watoto Wake. Mwanamume mmoja ametoroka nchini Burundi baada ya kuwapa adhabu ya kikatili watoto wake wawili ambao inada...MAJAMBAZI WATANO WALIOFANYA MAUWAJI KIBITI WAUWAWA KAHAMA.
Posted by Mohab Dominic
kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga Simon Haule Akionyesha siraha ilikuwa inatumika na majambazi Haya ndiyo mabomu w...
Kimataifa Habari
Wasichana Waliotekwa na Boko Haram Wagoma Kurudi Nyumbani
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicWasichana Waliotekwa na Boko Haram Wagoma Kurudi Nyumbani Kundi la wanamgambo wa Kiisl...
Read MoreUhuru Kenyatta atangazwa mshindi wa kura ya urais, Raila Odinga apinga
0 comment 11 Aug 2017 - Mohab Dominic Read MoreBill Gates achukua tena uongozi wa kuwa mtu tajiri duniani
0 comment 29 Jul 2017 - Mohab Dominic Read MoreIran yafanikiwa kuifanya jaribio roketi ya kubeba setilaiti
0 comment 28 Jul 2017 - Mohab Dominic Read More
habari
WATAALAM WA MADINI YA DHAHABU NCHI ZA UKANDA WA MAZIWA MAKUU (ICGLR) WAKUTANA ARUSHA
0 comment 28 Mar 2018 - Mohab DominicWataalam wa Madini ya Dhahabu kutoka Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR wamekutana Jiji...
Read MoreMwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreMAJAMBAZI WATANO WALIOFANYA MAUWAJI KIBITI WAUWAWA KAHAMA.
0 comment 06 Nov 2017 - Mohab Dominic Read MoreBREAKING NEWS: VIONGOZI WANNE WA CUF WAMEFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GALI
0 comment 06 Sep 2017 - Mohab Dominic Read More
Habari Za Mastaa
Hii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM Mjasiriamali na Mwanamitindo maarufu Bon...
Read MoreHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM Mjasiriamali na Mwanamitindo maarufu Bon...
Read More
Michezo
Ronaldinho Gaucho Atangaza Kustaafu Kucheza Soka
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicRonaldinho Gaucho Atangaza Kustaafu Kucheza Soka Mchezaji wa soka wa kimataifa wa Braz...
Read MoreFAINAL ZA WAKILI NKUBA AMBASSADO FC WAIBUKA WASHINDI
0 comment 08 Sep 2014 - Mohab Dominic Read More
simulizi za kusisimua
USILIE NADIA SEHEMU YA ISHILINI NA MOJA(21) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicUSILIE NADIA SEHEMU YA ISHILINI(20) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreUSILIE NADIA SEHEMU YA KUMI NA TISA(19) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreUSILIE NADIA SEHEMU YA KUMI NA NANE(18) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read More
MOHABMATUKIO.BLOGSPOT.COM's Admin

We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
You May Also Like...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Post
-
Mh Mbunge wa viti maalum mkoa wa shinyanga kupitia chama cha Demokrasi na maendeleo Chadema Mh Salome Makamba akiongea na wanafunzi wa da...
Author

Comments
- KaranpccrackHere at Karanpccrack, you will get all your favourite softwa… more
- wasem khaniI guess I am the only one who comes here to share my very ow… more
- softwearI am very thankful for the effort put on by you, to help us,… more
- Anonymous You manage to go above and beyond for every piece of job th… more
- hitproversion.comI have to say I am impressed. I rarely come across such an i… more
No comments: