sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WORLD PRESS FREEDOM OF EXPRESSION KAHAMA JOURNALIST FORUM

Mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa kahama Abel shija akikabidhi vitu mbalimbali katika kituo cha watoto yatima katika siku ya vyombo vya habari Duniani hapo, umoja wa waandishi wa habari kahama kahama journalist forum 

Vitu  mbali mbali vilivyotolewa kwenye kituo cha  watoto yatima cha mvuma siku ya vyombo vya  Habari  Duniani ambapo kahama Journalist forum walitoa zawadi ya vitu mbali mbali 

Uga,mafuta juice pipipi vilitolewa 

Mwenye tisht ya ragi nyekundu ni katibu wa kahama journalist forum Salvatory Kelvin kwenye picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo cha mvuma.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji wa kahama Abel shija akikabidhiwa Risala na katibu wa kahama journalisst forum Salvatory Kelvin

Baadhi ya watoto yatima katika kituo  cha mvuma wilayani kahama 


Watoto wa kituo cha mvuma

KAHAMA 

 Waandishi wa habari wilayani Kahama mkoani Shinyanga  wameungana na waandishi wa habari wengine nchini na kufanya maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari nchini kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Mratibu wa waandishi hao mjini humo Kahama journalist Forum  Salvatory Kelvin alisema wameamua kufanya maadhimisho hayo kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi laki mbili katika kituo cha watoto yatima cha Mvuma

Miongoni mwa  zawadi hizo zilizotolewa na waandishi hao ni pamoja na sukari, mafuta ya kula, sabuni ya unga, sabuni za vipande, dawa ya meno, juisi,biskuti pamoja na pipi  ambavyo thamani yake ni shilingi laki mbili na nusu

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply