sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AFANYA ZIARA KAHAMA YA KUUNGUA VIWANDA

 Mkuu wa mkoa wa shinyanga Zainab Tellack akiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na wilaya walipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha fresho mji kahama mwenye suti nyeusi ni mkuu wa wilaya ya kahama Fadhiri Nkurlu 

MKuu wa  mkoa wa shinyanga akiangali kiwanda cha fresho 

Mkuu wa mkoa Akiangalia ubora wa viti vinavyotengezwa na kampuni ya kom limted  iliyopo kahama  ambapo mkurungezi wa mji Anderson Msumba alikaa kwenye kiti hicho huku mkuu wa mkoa Zainab Tellack akiwa amekishika kiti hicho kwa nyuma 

 Moja ya mali ggafi kutoka ulaya zikiwa katika matayarisho kwa ajili ya kutengenezea viti na ndoo za blastick

 Mwenye miwani ni meneja mkuu wa kampuni ya kom limeted William Matonage Akitoa maelezo kwa mkuu wa mkoa wa shinyanga Zainab Tellack alipotembea kiwanda cha kom mjini kahama 

 Mkuu wa mkao Zainab Tellack akipewa maelezao juu ya utengenezaji wa Mambomba ya maji katika kiwanda cha kom huku viongozi mbalimbali wakisikiliza maelezo 

 Moja ya Mtambo mkuu wa kutengeneza Mambombmbamba a ya maji ukifanya kazi ya kufatua mambomba 

 Tunatembelea kiwanda 

 Moja ya mshine kubwa ya kutengeneza Mambomba katika kiwanda cha kom limited mji kahama 

 Mtambo  mkubwa wa kuteneneza Mabati katika kiwanda cha kom limited  

 Baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kom limitend 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply