| MKuu wa mkoa wa shinyanga akiangali kiwanda cha fresho |
| Moja ya mali ggafi kutoka ulaya zikiwa katika matayarisho kwa ajili ya kutengenezea viti na ndoo za blastick |
| Mwenye miwani ni meneja mkuu wa kampuni ya kom limeted William Matonage Akitoa maelezo kwa mkuu wa mkoa wa shinyanga Zainab Tellack alipotembea kiwanda cha kom mjini kahama |
| Mkuu wa mkao Zainab Tellack akipewa maelezao juu ya utengenezaji wa Mambomba ya maji katika kiwanda cha kom huku viongozi mbalimbali wakisikiliza maelezo |
| Moja ya Mtambo mkuu wa kutengeneza Mambombmbamba a ya maji ukifanya kazi ya kufatua mambomba |
| Tunatembelea kiwanda |
| Moja ya mshine kubwa ya kutengeneza Mambomba katika kiwanda cha kom limited mji kahama |
| Mtambo mkubwa wa kuteneneza Mabati katika kiwanda cha kom limited |
| Baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kom limitend |







No comments: