MKUU WA JESHI LA IGP SIMONI SIRRO Na MAKANDA WA MKOA WA SHINYANGA NYUMA SIMONI HAULE NA JUMANNE MURILO JUMANNE KWENYE KIKAO NA VYOMBO VYA HABARI MKOANI SHINYANGA
BAADHI YA MAKAMANDA WA JESHI LA POLISI MKOANI SHINYANGA
MKUU WA POLISI WILAYANI KAHAMA MUSSA MCHENYA AKIWA AMESIMA WAKATI WA UGENI WA IGP MKOANI SHINYANGA
ASKARI WA KIKOSI CHA KUTULIZA GHASIA MKOANI SHINYANGA WAKITOA HESHIMA KWA MKUU WA JESHI LA POLISI SHINYANGA
BAADHI YA ASAKARI WAKIONDOKA ENEO LA MKUTANO NA IGP MKOANI SHINYANGA
MKUU WA POLISI KAHAMA AKISALIMIANA NA BAADHI YA WANDISHI WA HABARI MKOANI SHINYANGA WALIFIKA KUONANA NA IGP SIMON SIRRO
SHINYANGA
Mkuu wa jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewaagiza Askari
wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kufanya kazi bila woga kwa kushirikiana na
vikundi vya ulinzi shirikishi.
Hayoalisema wakati akiongea na waadishi wa habari wakati wa
ziara yake ya siku moja mkoani hapa na kusema kuwa kuwasaka na kuwakamata
watu wote wanaohusika katika mauaji ya vikongwe na kuwachukulia hatua huku
akisisistiza kufanya kazi kwa nidhamu na uweledi hali ambayo ameitaja kuwa
itapunguza vitendo vya uhalifu katika mkoa wa Shinyanga
Aidha IGP sirro alisema kuwa mimi nimekaa hapa muda mrefu naomba
sana kuakikisha ushiriki wa vikundi vya ulinzi shirikishi kwa uadilifu mkubwa
wa kufanya kazi bila kunyanyasa wananchi na kuwapa makosa siyo yao alisema IGP
simon sirro. TAZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI
We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
No comments: