sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » Mgogoro wa wakulima na wafugaji Manga,Tanga: Rais Magufuli atoa wiki 1 Hakimu Laizer awe amehamishwa kituo cha kazi

 Mgogoro wa wakulima na wafugaji Manga,Tanga: Rais Magufuli atoa wiki 1 Hakimu Laizer awe amehamishwa kituo cha kazi


Rais Magufuli amesema changamoto zipo na atazitatua, Rais ameahidi kuwa zile wilaya mkinga, Bumbuli lushoto, Kilindi ambazo hakupitia atazipitia.

Amesema pia umeme utaletwa katika awamu ya tatu, Rais ameongea mkulima mama huyo anasema mipaka inawasumbua.

Pia ameongea na mfugaji amesema kuwa wapo muda mrefu na hakuna malalamiko yoyote na amesema hawana kesi na wakulima.

Ameongea na Mkuu wa wilaya ya Handeni Godwin Gondwe amesema kesi zikienda mahakamani hakuna ushahidi, Mahakama ya Mwanzo kuna Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Mazingara anaitwa Laizer anasumbua sana kesi za wafugaji ndio wanashinda ndio maana wakulima wanalalamika.

Rais Magufuli amesema kuwa wafugaji kwasababu wana pesa wamekuwa wanahonga viongozi, awaomba wafugaji wasilishe mashamba ya wakulima, na wasinyanyase wakulima, na amewaambiwa wakulima wasionee wafugaji.

Pia amewaambia RCO na TAKUKURU wawachunguze viongozi.

Rais Magufuli amempa hakimu Laizer wiki moja awe amehamishwa kituo cha kazi.

Rais awashukuru viongozi wa mkoa, waheshimiwa mkuu wa mkoa mbunge , pia amewashukuru wana Manga kwa kumchagua na amemaliza ziara yake ya mkoa wa Tanga

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply