sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » LEMBELI HATAZARISHA TUME YA UCHAGUZI NA POLISI KUFATA SHERIA ZA UCHAGUZI

 Wakazi wa kata ya mjini kahama wakisikilaz mgombea Ubunge jimbo la kahama kupitia Chadema Jemes lembeli katika viwanja vya CDT ambapo alifanya mkutano mkubwa wa kampeni
 Mgombea Udiwani kata ya kahama Mjini Abbas Omary kupitia Chadema akihubia katika viwanja vya CDT na kuomba kura ya mbunge na mgombea Urais Edward Lowassa kupitia Chadema
 Viongozi wa wilaya kahama chadema wakiwa na mbunge wao jemes Lembeli na mwenyekiti wa chadema wilaya ya kahama Juma Protus katika viwanja vya CDT kwenye mkutano wa kampeni
 Maelfu ya wakazi wa mji wa kahama wakisikiliza mgombea Ubunge kupitia Chadema Jemes Lembeli kwenye Viwanja Vya CDT
 Tupo pamoja tarehe 25,10,2015 mapema sana saa 11 wewe ndiye mbunge wa jimbo hili
 Ni weweeeeeee tu lembeli hakuna wingine
 Mgombea Ubunge jimbo la kahama kupitia Chadema Jemes Lembeli Akihutubia wakazi wa kata ya kahamna Mjini katika Viwanja Vya CDT
 Lembeli Akisisitiza jambo kiuhusu Tume ya uchaguzi kufata Sheria na polisi kuwa acha kutisha Rai
 Kulinda kura kura mita mia mbili 200 lazima ipo kisheria mimi nitarinda kura zangu Lembeli
 Tume fateni sheria Lembeli
Ummati wa wakazi wa kata ya kahama Mjini wakisikiliza sera za Mgombea Ubunge jimbo la kahama kupitia Chadema Jemes Lembeli kwenye Viwanja Vya CDT kahama.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply