- "Nitaunda serikali rafiki kwa wafanyabiashara ndogo ndogo"
Edward lowassa na Frederick Sumaye wakiwasili viwanja vya Barafu Mto wa Mbu leo Ijumaa 2/10/2015
Wananchi Wa Mto Wa Mbu wakiwa wamejipanga tayari viwanja vya Barafu Mto wa Mbu
Wanawake wa Kimaasai katika ubora wao wakisubiri kumpokea mgombea urais kupitia chadema Edward lowassa katika viwanja vya Barafu Mto Wa Mbu leoMhe. Sumaye akiongea na wananchi wa Mto Wa Mbu katika viwanja vya Barafu Ijumaa 2/10/2015#Mabadiliko2015
Asante Babati kwa kukubali Mabadiliko katika viwanja vya Gwara,rasmi ni Oktoba 25
KUTOKAMTOWAMBU @Edwardlowassatz akimnadi mgombea ubunge jimbo la Monduli Julius Kalanga Mabadiliko2015Mhe Frederick Sumaye akiongea na wanananchi wa Mto Wa Mbu katika viwanja vya Barafu Ijumaa 2/10/2015Babati Ikisema YES hakuna wakusema NO,Babati Ipo tayari kwa Mabadiliko Oktoba 25
KUTOKAMTOWAMBU: Mto Wa Ikisema YES hakuna wakusema NO,viwanja vya Barafu leo Ijumaa 2/10/2015
















