sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » SAFARI YA MWISHO YA HAPA DUNIA MPENDWA WETU SYLYESTAR NKWABI KABALO

 hii ndiyo safari ya mwisho ya mpendwa wetu hapa duniani Sylyestar Nkwabi  Ndegesele kijijini kwao Chona 

 Hii  ndiyo nyumba yake ya mwisho Marehemu Sylyestar  Nkwabi Ndegesela 

 Baadhi ya ndugu na jamaa wakishusha mwili wa marehemu Sylyestar Nkwabi kwenye makazi yake ya milele 

Wenye shati la blue Mbunge wa jimbo la kahama jumanne kishimba wakishusha mwili wa marehemu katika nyumba yake ya milele  marehemu Sylyestar Nkwbi Ndengesela  maz\ishi haya yamefanyika kijijini kwao chona wilayani kahama 

Hivi ndiyo mwili wa mpendwa wetu Sylyestar Nkwabi Ndegesele ukiwekwa kaburini 

 Ndugu na jamaa wakiweka mchanga wa mwisho kuuanga mwili wa Marehemu Sylyestar Nkwabi Ndegesela 

 Mhoja Ndegesela akiweka mchanga kwenye kaburi la mtoto wake slyestar Nkwabi  kabalo 

 Mh Mbuge wa jimbo la kahama Jumanne kishimba akiweka mchanga kwenye kaburi la Sylyestar Nkwabi 

 Shangazi wa marehemu Sylyestar Nkwabi Akiweka mchanga kwenye kaburi mtoto wake .

 Ndugu na jamaa wa marehemu wakiweka mchanga mara ya mwisho kuanga mwili wa ndugu yao 

 Mzee Mhoja  Ndengesela akiwa na baadhi ya wazee wakimfariji katika maziko ya mtoto wao mpendwa katika kijiji cha Chona wilayani kahama 

Mke wa Marehemu Sylyestar Nkwabi Ndengesela akiweka shanda la maua kwenye kaburi la mume wake Buriani mume wangu pumzika kwa amani 

 Mke wa Marehemu Sylyestar  Nkwabi akishikiliwa kwenda kuweka shahanda la maua na marafiki zake kijijini kwao Chona 

 Kwa heri mume wangu hayo ndiyo maneno ya mke wa Marehemu Sylyestar Nkwabi wakati wa kuweka maua kwenye kaburi la mume wake pumzika kwa amani 

 Marko Nzingula na mke wake wakiweka shahanda la maua 

   Mwenyekiti wa ccm wilaya kahama Mh  Maballa Mlolowa na Mwenyekiti wa vijana wilaya wakiweka shahanda la maua kwa pamoja 

 Mpumzika kwa amani ya bwana amina 

 Mbunge wa jimbo la kahama jumanne kishimba akiweka shahanda la maua 

 Baadhi ya jamaa na  Ndugu waliofika msibani Mwenye sharti Nyeusi ni shukuru na kaka mkubwa joshua hassani kwenye maziko  ya ndugu yao kijijini Chona 

 Baadhi ya wafanyabiasha wa kahamawaliofanya nao kazi   marehemu Sylyestar Nkwabi wakiwa katika maziko kijiji kwao chona 

 Baadhi ya Waobolezaji wakiwa nchi ya Mti kwa ajili ya juu kuwa kali sana mchana hapo ndiyo Nyumbani kwa Marehemu 

 Baadhi ya Ndugu na jamaa walitoka mpanda kuja kahama kwa Ajili ya Maziko ya ndugu yao Sylyestar Nkwabi Ndegesela 

Baadhi ya Wafanyabiasha toka Mpanda wakiwa katika maziko ya jamaa yao marehemu Sylyestar Nkwabi 

Mazikoni Nyumba kwao na marehemu slyestar Nkwabi kijijini kwao Chona 

 Mh Meya mji wa kahama Abel Shija akiweka shahanda la maua kwenye kaburi la Marehemu Sylyestar Nkwabi 


jamaa wa marehemu 

Baadhi ya ndugu na jamaa wakipa pole mke wa marehemu, Mkono  Sylyestar Nkwabi 

 Watoto wa marehemu Sylyestar Nkwabi wakiwa watu wenye udhuni mkubwa baada ya baba yao kufariki Dunia na kukosa mapenzi ya Baba yao 

 Bint wa marehemu Sylyestar Nkwabi akiwa mwenye udhuni kubwa wakati wa kuuanga mwili wa baba yao katika kijiji cha Chona 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply