sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » JESHI LA POLISI KAHAMA LAKAMATA PIKIPIKI 133 NA BAJAJI 6

 Hizio ndiyo habari kwa wapanda pikipiki nchini tanzania 

 Baadhi ya pikikipi zilizokamatwa na jeshi la polisi hapa nchini 

ubejaji wa mizingo kama hii ni hatari 

Pikipiki ambazo jeshi la polisi limezikamata kwa makosa mbalimbali hapa nchini 

 Hizi ndizo hatari kwa wapanda pikipiki wakati walibebwa hakuna alivyaa kofia ngumu 

 Hatari kama hizi kwa waandesha pikipiki 

 Baadhi ya pikipiki zikiwa katika kituo chja polisi hapa nchini 

 Mkuu wa kitengo cha usalama barabarani wilayani kahama Robert sewado akiwa na kijana mwenye kofia ngumu akiwa ameshikiliwa kwa kosa la kubeba abiria ambaye akuva kofia ngumu.

 Mkuu wa kitengo cha usalama barabarani Robert sewado akitoa maelekezo kwa vijana wanavuja sheria za barabarani wilayani kahama .

 Hapa kazi ndiyo maneno ya  mkuu wa kitengo cha  usalama barabarani wilayani kahama Robert sewado akiwa na askari wa kikosi cha usalama barabarani kahama wakihakisha usalama wa panda pikipiki wanakuwa salama wakati wote 

 Wakiwa wamekamatwa na askari wa kikosi cha usalama barabarani kwa kosa la kutovaa kofia ngumu 

 Opereshi kamata pikikipiki kahama wanaovuja sheria za barabarani 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply