sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MJASILIAMALI MUUNZA MATUNDA KWA TORORI MPAKA KUNUNUA GARI KWA MATUNDA

Gari aina ya suzuki T225 BYF.  ya mjasiliamali wa matunda mji Dodoma Willfrend makundi akiwa katika biashara yake ya matumda katika mtaa wa mtendeni mjin Dodoma 

Hivi ndiyo gari la willfrend makundi akiwa katika upangaji wa matunda katika gari lake baada ya kuachana na uendeshaji wa toroli katika mtaa ya Dodoma makao makuu ya nchi ya Tanzania na kutunza mazingira katika mji huu.

Gari la matunda Dodoma ambapo mjasilimali willfrend makundi ameamua kuacha kambisa kuunza matunda kwa kupitia matoroli ya kusukuma kwa mikono na tunza mazingira ya mji wa Dodoma 

 Karibu 

 Matunda mbalimbali 

 Hata hivyo  ni jinsi gani willfrend aliamu kuwa mtu ni afya baada ya matunda yake kuhifadhi katika hali ya usalama zaidi kwa wateja wake 

 Usafi kwanza na ubora wa matunda 

 Bora wa matunda pamoja na mapapai ,matikiti maji machungwa maembe ,ndizi ,zabibu mapera ,

 Tunapanga matunda kwa ajili ya wateja 

Moja ya mteja wake ambaye jina lake alikuweza kufamika mara moja ,akipongeza kwa kufanya biasha yake kuonekana katika ubora  kama mjasiliamali mdogo 


DODOMA Kijana Moja  mjasilimali mkazi wa mji wa Dodoma Willfrend makundi    miaka (25) ambaye ni mfanyabiasha ya matunda katika mtaa wa mtendeni mji hapa amefanikiwa kwa kuuza matunda kwa mtaji wa shilingi elfu kumi na mbili kama mtaji wake na kununua gari kwa ajili ya kuuza matunda katika mji wa Dodoma.
Akiongea kwa uchungu mkubwa na mohabmatukio.blogspot.mji Dodoma alisema yenye aliaza biashara yake ya kuuza matunda katika kipindi zaidi ya miaka kumi mjini hapa kwa mtaji wa kiasi cha shilingi elfu kumi na mbili.

Changamoto hakuna siku ambayo siwezi kusahau ambapo nilikopa fedha kwa jamaa zangu kwa ajili ya kununua matunda wakati huo mimi nilikuwa naunza kwa toroli la kusukuma,matunda yangu yote yalikamatwa na manispaa yakaalibika zaidi ya laki tano nilipoteza.

Sikukataa taama nikarudi upya na biashara yangu hapo sasa nikaza mkanda kweli kweli  basi niliendelea na biashara yangu na wateja wangu walikuwa wamekwisha nizoe sana kwa sababu nilikuwa karibu na hotel moja hapa mtaa wa mtendeni Dodoma jamaa zangu tena na juhudi zangu nikanza tena biashara ya matunda.

Hivi sasa mimi ni mtaji wa zaidi ya milioni 4 na nikafikiria  bora ninunue gari ndogo kwa ajili yah ii biashara na niwenze kuwepuka na matatizo ya mara kwa mara na manispaa ya Dodoma kwa utunzaji wa mazingira na usafi na ubora wa matunda yangu kwa wateja wangu wadodo na wanapita hapa.

Mafanikio mpaka sasa ni vijana wanne ambao ni wasaindizi wangu katika biashara hii yangu kwa sababu wapo wengine wanatoka katika ofisi za bunge kuja kula hapa matunda na hapa karibu na ofisi za makao makuu  CDA kwa ajili ya matunda.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply