By: Mohab Dominic
on 04:50
/
|
Mtoto mchanga akiwa na siku moja muda mfupi baada ya kuzaliwa na mama ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mkoani singida mwenye umri wa miaka 13 . |
|
Bango kuu la hospital ya mkoa wa singida |
|
Mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 13 akiwa na mtoto wake akinyonyesha katika wodi ya wazazi walijifungua kwa njia ya uperesheni kutoka na nyonga zake kuwa ndogo |
|
Mtoto mwenye kilo mbili 2 akiwa na afya njema akiwa na siku moja toka kuzaliwa |
|
lANGO kuu la Hospital ya mkoa wa singida ambapo mwanafunzi wa kidato cha pili Mwenye miaka 13 ajifungua |
|
Mtoto akiwa amelala hakiwa na afya njema |
|
Mwanafunzi wa kidato cha pili akiwa nayonyosha mtoto wake mwenye kilo mbili akiwa na afya njema |
|
Wodi ya kinamama Ambao wamejifungua kwa njia ya uperesheni katika hospital ya mkoa wa singida
SINGIDA
Wanafunzi wa shule ya sekondari miaka(13 ) Amejifungua Mtoto wa kiume mwenye kilo mbili kwa njia ya uperesheni baada
ya nyonga zake kuwa bado hazijakooma kwa kuzaa kwa njia ya kawaida.
Hayo alisema kaimu
mganga mfawidhi wa hospital ya mkoa wa singida Dr Ng’hungu kuzenza alisema kuwa wanafunzi huyo aliletwa
na mama yake mzazi toka eneo la kalakana
na kusema kuwa ni mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya igunguno ambapo
alikuwa akisoma hapo.
Aidha Dr kuzenze alisema kuwa mwanafunzi huyo halilazwa hapa tarehe 9
mwenzi huu akiwa mjamzito wa kujifungua tulifanya vipimo vyote kuona kama
anauwezo wa kujifungua kwa njia ya kawaida kwa kuwa umri wake wa kujifungua kwa
njia ya kawaida ni mdogo, kutokana na umri wake.
|
Tag:
habari
matukio
MOHABMATUKIO.BLOGSPOT.COM's Admin
We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
No comments: