sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » ANGALIA PICHA ZA WANAFUNZI WA MIAKA 13 KIDATO CHA PILI AJIFUNGUA MTOTO KILO 2


 Mtoto mchanga akiwa na siku moja muda mfupi baada ya kuzaliwa na mama ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mkoani singida mwenye umri wa miaka 13 .

 Bango  kuu la hospital ya mkoa wa singida 

 Mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 13 akiwa na mtoto wake akinyonyesha katika wodi ya wazazi walijifungua kwa njia ya uperesheni kutoka na nyonga zake kuwa ndogo 


Mtoto mwenye kilo mbili 2 akiwa na afya njema akiwa na siku moja toka  kuzaliwa  

 lANGO kuu la Hospital ya mkoa wa singida ambapo mwanafunzi wa kidato cha pili Mwenye miaka 13 ajifungua 

 Mtoto akiwa amelala hakiwa na afya njema 

 Mwanafunzi wa kidato cha pili akiwa nayonyosha mtoto wake mwenye kilo mbili akiwa na afya njema 

 Wodi ya kinamama Ambao wamejifungua kwa njia ya uperesheni katika hospital ya mkoa wa singida  


         SINGIDA 
Wanafunzi wa shule ya sekondari  miaka(13 ) Amejifungua Mtoto wa kiume mwenye  kilo mbili kwa njia ya uperesheni baada ya nyonga zake kuwa bado hazijakooma kwa kuzaa kwa njia ya kawaida.

Hayo alisema kaimu  mganga mfawidhi wa hospital ya mkoa wa singida Dr Ng’hungu  kuzenza alisema kuwa wanafunzi huyo aliletwa na mama yake mzazi toka  eneo la kalakana na kusema kuwa ni mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya igunguno ambapo alikuwa akisoma hapo.

Aidha Dr kuzenze alisema kuwa  mwanafunzi huyo halilazwa hapa tarehe 9 mwenzi huu akiwa mjamzito wa kujifungua tulifanya vipimo vyote kuona kama anauwezo wa kujifungua kwa njia ya kawaida kwa kuwa umri wake wa kujifungua kwa njia ya kawaida ni mdogo, kutokana na umri wake.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply