sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » HABARI KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA WATUMISHI WA NEMC.4

  Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Profesa Faustin Kamuzora akiongea na Watumishi wa Baraza   la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) alipokutana nao kuongea mambo mbalimbali ya Kiutumishi,  Ofisi hiyo ambayo iko Chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais.
 
 Mmoja wa Watumishi wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Injinia Renalda Mukandara akichangia maoni yake wakati wa kikao hiko.
Sehemu ya Watumishi wa  Baraza   la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Profesa Faustin Kamuzora (hayupo pichani) alipokua akiongea nao alipokutana nao katika Ofisi za Baraza hilo.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply