sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» »Unlabelled » ASKARI TRAFIKI AZOMEWA SHINYANGA



  
      Dec 8,2013
       Shinyanga


Abiria wenye hasira walimzomea askari wa usalama barabarani katika standi kuu ya mabasi  mjini shinyanga baada ya kuliruhusu  basi lililozuia kwa kosa la kuwahi kabla ya muda uliopangwa.

Basi hilo  mali ya kampuni ya zuberi bus services ltd lilokamatwa na askari trafiki mwenye cheo cha koplo  linalosafiri kati ya Dar na  mwanza liliwasili shinyanga saa 1,25 badala ya saa 2 usiku.

Tukio hilo lililotafsiliwa kama matokeo ya rushwa ,lilivuta  hisia za watu wengi walitaka kujua hatima ya basi hilo na mtafaruku wa abiri wa kupinga dereva hiyo kuachwa katika mazingira ya utata bila ya kuchukuliwa hatua yoyote .

Askari  mwenye  cheo cha koplo alingilia kati kurizui basi  hilo lililovunja sheria  za usalama barabarani  kwa kuwahia kabla ya muda huliopangwa.

Baada ya mkufokea askari  mwenzake mkuu huyo alimruhusu dereva wa basi andoke  na kuendelea na safari jambo ambalo lilipingwa vikali na abiri wa basi hilo.

 Moja wa Abiria hao wadai alijitabulisha kwa jina moja juma athumani alisema  kuwa wamepinga simu jeshi la polis hilo ili kumshitaki Dereva wa basi hilo toka singida kwa kitendo kuendesha gari kwa  mwendo  kasi  hulikuwa wa hatari  na uliohatarisha maisha yao.

‘ii ni rushwa ya wazi  nam hii tutafia barabarani kwa wingi wa ajali  kama tarfiki watawalinda madereva  wazembe kiasi hicho “Alisema moja wa abiria

Zongo hilo lilizidi pale raia wema walipolivalia njunga  sakata hilo kwakumrazimisha dereva wa hiyo asiondoke  hadi amechuliwa hatu.

Hata hiyo baada ya muda dereva huyo aliingia kwenye basi  hilo na kuwataka  abiria wake  kuendelea na safari kuwa madai amemalizana na askari huyo kiongozi.

Nipashe ili mtafuta kamanda wa usalama barabarani mkoa wa shinyanga (RTO)Desdery lugimbana alikili kupokea taarifa za basi hilo la zuberi namba T 680 AWJ aina ya schania ambalo lifika shinyanga sandi saa1.25 jioni  kuwa mimi nipo safari nikirundi nitalifanyia kazi .

MWISHO   
 
.

 



 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply