sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» »Unlabelled » Mwaka wa imani jimbo katoliki kahama wafunga ndoa 54 wakiwepo wazee wa miaka 70


       Kahama



Jumla ya wanadoa 54 wamefunga ndoa za kihistoria ya mwaka wa imani katika parokia ya kahama mjini.

Ndoa hizo zilifungwa jumapili hii katika kanisa la roma katoliki  parokia ya mtakatifu karoli lwanga mjini hapa.

katika ndoa hizo zilizokuwa na fulaha kubwa ambapo kulikuwa na wanandoa  tofauti wazee na vijana.

Aidha katika maazimisho ya mwaka wa imani ulitangazwa kufunguliwa rasmi na Baba mtakatifu Benedicto XVI tarehe 11.10.2012.katika ibadaya misa maalumu iliyoadhimishwa katika Basilika la mtakatifu petro roma huu wa imani unaomalika tarehe 24.11.2013.

Katika mahazimisho ya ndoa hizo ziliwacha waaumini wakiwa na fulaha kubwa wakati Baba paroko padre Rogatus malulu alifulaishwa sana na kuona wandoa Edward Dalali( 70)na mke wake Catherine sonzy (65)wakazi wa kijiji cha Busoka wilayani kahama.

Baba paroko alifafanua suala la kuhusu ndoa hizi kwa imani ya wakatoliki ni muhimu sana kwa kupokea imani yako katika imani yako na hasa mkatoliki ni jambo bora sana pia amewataka kufunga imani yao.

Aidha Baba paroko Rogatus alisema kuwa lengo la mwaka wa imani ni kuamsha katika kila mwamini  hamu ya kukiri imanikikamilifuna kwa imani mpya kwa kujiamini na matumaini  na unaohimiza uinjilishaji mpya kwa ajili ya kueneza imani ya kikristo katika jimbo.

Mwisho


bwana na bibi arusi edward dalali (70 )akiwa mke wake catherine sozy (69) mbele baba padre rogatus malulu akifungisha ndoa changua moja bora


 























«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply