sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» »Unlabelled » KIJANA MOJA ANUSURIKA KUWAWA MJINI KAHAMA



 Kijana moja mkazi wa ukerewe Nation Josia miaka 17 amenusurika kuwawa na wanachi wa kitongoji cha majengo mjini kahama leo asubuhi


 kijana Nation Josia mkazi ukerewe miaka 17 amenusurika kuwawa kwa kuimba genereta la kani majengo
 Baadhi ya mwanchini wa mtaa wa majengo wakiwa katika harakati ya kutaka kuchoma moto kijana nation josia
 Kijana Nationi Josia mwenye tishet ya blue na kijana mwenye tishert nyekundu Abdallah seif mkazi wa Ngara miaka 21  wakiwa nchini ya polisi ambao hawapo pichani
 polisi akiwa amewatanguliza watumiwa wa genereta la kanisa mjini kahama
 Gari la polisi wilipofika kuwaokoa vijana walioimba genereta la kanisa
 Gari la polisi likiondoka katika eneo la tukio
 Watumiwa wakiwa ndani ya ngari la polisi kwa ajili ya kuwapeleka kituo cha polisi
Watumiwa wakiwa wanapanda gari kwa ajlili ya kuwapeleka kituo cha polisi

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply