sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» »Unlabelled » SHIRIKA LISILO LA KISERIKALI LA SEARCH FOR COMMON GROUND

 Meneja wa shirika lisilo la kiserikali mjini kahama Razaro mapimo Akitoa maaelekezo kwa wadau wa amani katika ukumbi wa Halmashauri ya mji wa kahama kwa ajili ya kumbushana Amani iliopo
 Meneja wa Mradi ofisi kuu ya dar es salaam  Patricia loreska Alisimama kushoto wakati wa kukaribishwa katika ukumbi wa mikutano
 Baadhi ya wadau wa Amani wa mgodi wa Dhahabu wa Bulyahanulu wakiwa katika mkutano wa amani
 Mwenyekiti wa( CWT )wilaya ya kahama mwl Victor Tandise akitao maada juu ya hali halisi ya juu ya kuwepo kwa Amani katika nchi yetu ya tanzania
 Shehe wa wilaya ya kahama Akitoa mawanzo yake katika mkutano wa Amani Ambao umefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya ushetu
Mgeni Rasmi mkuu wa wilaya ya  kahama Benson Mpesya Kwa niaba yake katibu tarafa Afred Mtaule kwa niamba ya mkuu wa wilaya yakahma
 Baadhi ya jumbe wa mkutano wa Amani wakisikiliza mtoa maada hayupo pichani
Wajumbe wa mkutano wa Amani wa Mgodi wa Dhahabu wa Buzwangi wakisikiliza kwa makini maada
 Meneja Mradi wa ofisi ya Tarime Jacob Mulikuza Akitoa maada kwa wajumbe wa mkutano wa Amani
 Kaimu mkurungezi wa  Halmashauri ya msalala  Zabron Donge  Akitoa maada juu ya hali halisi ya Amani ya tanzania katika mkutano wa Amani huliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ushetu
 Mmoja wa wajumbe Mwl kitonka  wa mkutano wa Amani ya tanzania katika wakati huu wa kwenda katika uchanguzi Ambao unatalajiwa kufanyika mwaka
 Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa Amani ya tanzania wakiwasikila watoa maada
 Meneja wa mradi wa kahama Razaro Mapimo Akitao maada kwa wajumbe
 Picha ya pamoja ya Wajumbe wa mkutano wa Amani ya Tanzania
 Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa Amani wakiwepo Wawakilishi wa wabunge wa jimbo la msalala Mh maige  Akimwakilisha mbuge huyo Jackson Lutengo mwenye shati ya mikono mirefu
 Mwenyekiti wa CWT wilaya ya kahama Mwl  V. Tandise Akitoa maada juu ya Amani ya Tanzania
Mmoja ya wajumbe wa  mkutano wa Amani ya Tanzania shirika ilisilo la kiserikali la  search for common ground

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply