mwenyekiti wa halmashauri ya ushetu juma kimisha akiwa hospital ya wilaya ya kahama baada ya kunusurika na majambazi katika kijiji cha igusule wilayani nzega na kahama kushoto kwenye benga likionekana jeraha la risasi alipingwa nyuma ya kiti na kumpata kwenye benga .
mh juma kimisha akiwa hospital ya wilaya ya kahama kushoto ni jeraha la risasi ambayo imo dani ya benga wakati watalamu wajadili jinsi gani ya kuondoa risasi hiyo .
mwenyekiti wa halmashauri ya ushetu juma kimisha akiwa wodi katika hosptali ya mji kahama .
mh juma kimisha akiwa na mke wake wodi kwa ajili ya kumfariji kwa janga hilo lilomkuta mume wake .
baadhi ya madiwa walikwenda wodi kwa kumfariji mwenyekiti wao katika hospital ya wilaya ya kahama .
dereva wa gari sm 10032 joseph dutu akiwa hospitali ya wilaya ya kahama akionyesha jeraha la panga kichwa.
joseph dutu akiwa na jeraha la panga kichwa ambapo walivamiwa na jambazi katika kijiji cha igusule kati ya wilaya ya nzega na kahama ambapo majambazi takribani 20 yalivamia wakiwa wanatoka mkoani tanga majira ya saa 2.30 usiku shughuli hiyo ilichukuwa zaidi ya dakika 45.
baadhi ya wakazi wa kahama mjini walifika hospital ya wilaya kujulia hali mwenyekiti huyo mwenye badaji mkononi .
baadhi ya watumishi wa halmashauri ya ushetu na diwani wa kata ya nyakende mh doa mwenye suti damu ya mzee ana alisimama ni afisa wa tasfa, nyanda .
hili dilo gari la halmashauri ya ushetu sm 10032ambalo lilikuwa likiendeshwa na joseph dutu jinsi lilolibiwa sehemu ya vioo vya kushoto na nyuma .
dereva wa gari sm 10032 mwenye badeji kichwani akitoa ufafanuzi jinsi walivyovamiwa na majambazi jana usiku katika kijiji cha igusule kati ya wilaya ya nzega na kahama .
hili ndiyo gari linavyoonekana likiwa ofisi ya mkurungezi wa shetu likiwa na tundu la risasi.
Slider
WATAALAM WA MADINI YA DHAHABU NCHI ZA UKANDA WA MAZIWA MAKUU (ICGLR) WAKUTANA ARUSHA
Posted by Mohab Dominic
Wataalam wa Madini ya Dhahabu kutoka Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR wamekutana Jijini Arusha ili kujadili masuala mbalimbali yanayohusu madini ...Mwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa
Posted by Mohab Dominic
Mwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa Ujumbe wa Yona Kabla ya kifo chake.... "Nimekuwa kwenye matatizo ya ndoa k...Baba Awapa Adhabu ya Ajabu Watoto Wake.
Posted by Mohab Dominic
Baba Awapa Adhabu ya Ajabu Watoto Wake. Mwanamume mmoja ametoroka nchini Burundi baada ya kuwapa adhabu ya kikatili watoto wake wawili ambao inada...MAJAMBAZI WATANO WALIOFANYA MAUWAJI KIBITI WAUWAWA KAHAMA.
Posted by Mohab Dominic
kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga Simon Haule Akionyesha siraha ilikuwa inatumika na majambazi Haya ndiyo mabomu w...
Kimataifa Habari
Wasichana Waliotekwa na Boko Haram Wagoma Kurudi Nyumbani
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicWasichana Waliotekwa na Boko Haram Wagoma Kurudi Nyumbani Kundi la wanamgambo wa Kiisl...
Read MoreUhuru Kenyatta atangazwa mshindi wa kura ya urais, Raila Odinga apinga
0 comment 11 Aug 2017 - Mohab Dominic Read MoreBill Gates achukua tena uongozi wa kuwa mtu tajiri duniani
0 comment 29 Jul 2017 - Mohab Dominic Read MoreIran yafanikiwa kuifanya jaribio roketi ya kubeba setilaiti
0 comment 28 Jul 2017 - Mohab Dominic Read More
habari
WATAALAM WA MADINI YA DHAHABU NCHI ZA UKANDA WA MAZIWA MAKUU (ICGLR) WAKUTANA ARUSHA
0 comment 28 Mar 2018 - Mohab DominicWataalam wa Madini ya Dhahabu kutoka Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR wamekutana Jiji...
Read MoreMwanaume Ajiua Kisa Penzi la Mkewe na Mchepuko..Aacha Ujumbe Huu Hapa
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreMAJAMBAZI WATANO WALIOFANYA MAUWAJI KIBITI WAUWAWA KAHAMA.
0 comment 06 Nov 2017 - Mohab Dominic Read MoreBREAKING NEWS: VIONGOZI WANNE WA CUF WAMEFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GALI
0 comment 06 Sep 2017 - Mohab Dominic Read More
Habari Za Mastaa
Hii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM Mjasiriamali na Mwanamitindo maarufu Bon...
Read MoreHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicHii Hapa Kauli ya Jokate kuhusu kugombea CCM Mjasiriamali na Mwanamitindo maarufu Bon...
Read More
Michezo
Ronaldinho Gaucho Atangaza Kustaafu Kucheza Soka
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicRonaldinho Gaucho Atangaza Kustaafu Kucheza Soka Mchezaji wa soka wa kimataifa wa Braz...
Read MoreFAINAL ZA WAKILI NKUBA AMBASSADO FC WAIBUKA WASHINDI
0 comment 08 Sep 2014 - Mohab Dominic Read More
simulizi za kusisimua
USILIE NADIA SEHEMU YA ISHILINI NA MOJA(21) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab DominicUSILIE NADIA SEHEMU YA ISHILINI(20) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreUSILIE NADIA SEHEMU YA KUMI NA TISA(19) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read MoreUSILIE NADIA SEHEMU YA KUMI NA NANE(18) SIMULIZI YA KWELI
0 comment 17 Jan 2018 - Mohab Dominic Read More
MOHABMATUKIO.BLOGSPOT.COM's Admin

We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
You May Also Like...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Post
-
DUKA LA KISASA LA DAWA MUHIMU BAMA PHARMACY LILPO MJINI KAHAMA MAJENGO KAMA LIVYO DR HERY MUGA AKITOA MAELENZO YA DAWA KWA MTEJA WAKE ...
Author

Comments
- KaranpccrackHere at Karanpccrack, you will get all your favourite softwa… more
- wasem khaniI guess I am the only one who comes here to share my very ow… more
- softwearI am very thankful for the effort put on by you, to help us,… more
- Anonymous You manage to go above and beyond for every piece of job th… more
- hitproversion.comI have to say I am impressed. I rarely come across such an i… more
No comments: