sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MGODI WA ARFICANI BARRICK GOLD MINE (BUZWAGI )WATOA MSAADA WA VITANDA HOSPTALI YA WILAYA KAHAMA

 Mkurungezi wa halmashauri ya mji wa kahama Felix kimario akitoa pongezi kwa uongozi wa mgondi wa buzwagi kwa msaada wa vitanda 27 katika hospital hiyo.vitanda hiyo vyenye samani ya milioni 54 .
 Mkuu wa wilaya ya kahama Benson Mpesya akiongea na wanganga na waunguzi wa hospila ya wilaya ya kahama kwenye makabidhiano ya vitanda 27 katika hosptali ya halmashauri ya mji mwenye kofia ni meneja undelezaji wa mgodi wa buzwagi George mkanza wakatika wa mabidhiano katika viwanja vya hosptali hiyo .

 

Katika makabidhiano hayo Mpesya amesema ameshangazwa na mgawanyo wa kiutawala wa wilaya ya Kahama iliyogawanywa kwenye halmashauri tatu za Mji,Ushetu na Msalala mgawo huo umeathiri huduma za afya.


Aidha Mpesya amesema mgawo huo pia umekwenda sambamba na hospitali ya wilaya ambayo nayo imegawanywa katika Halmashauri tatu hali iliyodhoofisha utendaji kazi kwa kuwagawa madaktari katika halmashauri tatu,badala ya kuimarisha moja ya wilaya.

Alipendekeza Madiwani hao wangeweza kutumia busara wakaacha kuigawa hospitali hiyo ambayo imesimama kama ya Rufaa kwa kutoa huduma kwa wagonjwa wanaotoka katika Halmashauri zao,badala ya kuwapeleka Madaktari kwenye zahanati za vijiji,huku wilaya kukiwa na mapungufu.

Naye Meneja Uendelevu wa Mgodi wa Buzwagi George Mkanza amesema vitanda hivyo vimetolewa na Madaktari rafiki wa Kampuni hiyo kutoka nchini Austaria na vimegharimu Shilingi Milioni 54.
mwisho

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply