sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » AKIONA CHA MOTO DADA HUYU BAADA YA KWENDA KUJIUZA KWENYE SIKUKUU YA CHRISTMAS

Akiona cha moto baada ya kwenda kufanya ukahaba kwenye sikukuu ya christmas ajikuta akiwa tabani kwenye mti huku akiwa ana fahamu 

MSICHANA mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Jenipher, anayedaiwa kujiuza katika maeneo ya Shivaz na Kaloleni jijini Dar es salaam, amekutwa akiwa amepoteza fahamu kando ya barabara, katika harakati za kujipatia chochote kipindi hiki cha sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya. 

Akiwa pembeni ya barabara, Jenipher anayeelezwa kuwa maarufu mjini hapa, anadaiwa kuwa siku hiyo alizidisha idadi ya wanaume aliotoka nao, kwa ajili ya kujipatia kipato cha kutosha ili aweze kuburudika vizuri wakati wa sikukuu ya Krismasi.

Baadhi ya mashuhuda wanaomfahamu msichana huyo walisema kwamba katika kipindi cha wiki nzima iliyopita, alikuwa akisaka wanaume kwa bidii na kwamba alikuwa tayari kwa ajili ya kutoa huduma hiyo mahali popote. 

“Unajua hapa kila mtu na mambo yake, huyu Jenipher siku zote tupo naye ila wao huwa hawaendi kulipia gesti, ila wanafanya ngono popote hata mtaroni, kwenye ukuta ilimradi huyo mwanaume yupo tayari, ila usiku alizidiwa na wanaume na hakuwa amekula,’’ alisema mmoja wa dada poa aliyekataa kutaja jina lake. 

Mmoja wa wamiliki wa baa iliyo maeneo hayo, aliyeomba hifadhi ya jina lake, alisema wasichana wengi wanaojihusisha na biashara hiyo wamekuwa na tamaa kiasi cha kushindwa kujali afya zao, kwani baadhi yao huacha hata kula chakula, badala yake, hunywa pombe aina ya viroba. 

Hadi tunatoweka eneo hilo, bado binti huyo alikuwa yupo eneo hilo akiwa hajitambui.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply