sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MHESHIMIWA LOWASSA ALA CHRITSMAS MWANAKWEREKWE ZANZIBAR

 Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa na mkewe Regina wakiwa na na mjukuu wao Angelica Fredy katika kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania  mwanakerekwe mjini unguja walipohudhulia ibada ya christmas
 Mke wa waziri mkuu mstaafu Rengina akiwasalimia waaumini wa unguja wakati wa misa ya sikukuu ya christmas .
 mchungaji wa kanisa la kilutheri philip mvungi akisoma neno la mungu
 Mjuuku wa mheshimiwa lowassa akiangalia neno la mungu wakati wa kusoma injili wakati wa sikukuu ya christmas mjini unguja ambapo waziri mstaafu alisani huko .
Waziri mkuu mstaafu Edward lowassa akiongea katika kanisa la kilutheri mwanakwerekwa mjini ujunga .

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply