sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » Vikosi VYA ULINZI NA USALAMA VYAANZA KUHAMI MTAMBO WA KUCHAKTA GESI

Vikosi vya Jeshi la Ulinzi, Magereza, Polisi na wataalamu wengine wanaendelea na kazi ya kuthibiti mmomonyoko wa ardhi uliotokea hivi karibuni katika kijiji cha Msimbati, Mkoani Mtwara kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali.
mmomonyoko uliotokea karibu na Kiwanda cha Kusafisha gesi asilia kilichopo katika kijiji cha Msimbati, Mkoani Mtwara. Kiwanda hicho husafisha gesi ambayo inatumika katika kufua umeme unaotumika katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
  

 

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga alipotembelea eneo ambalo limeathirika na mmomonyoko wa ardhi uliotokana na mvua

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga alipotembelea eneo ambalo limeathirika na mmomonyoko wa ardhi uliotokana na mvua

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga alipotembelea eneo ambalo limeathirika na mmomonyoko wa ardhi uliotokana na mvua

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (anayeelekeza) akishauriana na Meja Jenerali R. S. Laswai (wa pili kutoka kulia).

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply