sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WAJUMBE WA SERIKALI YA MTAA WA SOKOLA WAKATA UJENZI WA MASHIMO NA MATUNDU YA CHOO SHULE YA MSINGI MAJENGO KAHAMA KIPINDI CHA MASIKA.

 Wajumbe na wazazi wa serikali ya mtaa sokola wakiwa nje ya ofisi ya mwalimu mkuu shule ya msingi majengo .

 Baadhi ya mwanafunzi wa shule ya msingi majengo wakiwa nje kwenye mapumziko .
 Wanafunzi wa kike wakiwa chini ya mti katika shule ya msingi majengo.
 Wajumbe wa kamati ya wazazi walitumwa na mwenyekiti wa mtaa kwenda kuongea na waziza juu ya ujenzi wa matundu ya vyoo kujenga masika .
 Baadhi ya wazazi wakiwa nje ya jengo la shule ya msingi majengo.
 Baadhi ya Tripu za mawe ambazo zimeletwa hapo shule kwa ajili ya ujenzi huo ambapo katika ujenzi huo zinatakiwa Tripu kumi na tano na wajumbe wa serekali ya mtaa kuona kuna jamaa za ubadilifu katika ujenzi huo .
 Hapa ndiyo eneo ambalo linamjengwa matundu ya vyoo na upande wake wa kushoto kuna vyoo vya wanafunzi hao jambo ambalo wajumbe wa kamati ya serekali ya mtaa imesimamisha ujenzi huo kwa kipindi hiki cha masika na usalama wa watoto hapo shuleni .
 Baadhi ya wajumbe wakiwa wamekaa juu ya mawe ya ujenzi wa matundu ya vyoo na mashimo wakitafakali juu ya ujenzi huo wakati wa kipindi cha masika wakati eneo hilo ni la kichanga .

 .
  Mjumbe wa serekali ya mtaa wa sokola kupitia chadema  chancellas sumer akiongea na baadhi ya mwanachi na kamati yake juu ya ujenzi huo wa matundu ya vyoo katika  shule hiyo .

 Chancellas sumer akisisitiza jambo juu ya uhalibifu wa fedha za wananchi juu ya ujenzi wa matundu ya vyoo wakati wa kipindi cha masika shuleni hapo .
 Baadhi ya wazazi wakiangalia eneo ambalo ujenzi wa matundu ya vyoo ambayo yanaotakiwa kujenga hapo wakati eneo hilo ni kichanga kwa kipindi cha masika ni kuhalibu fedha za umma .
 Mwenyekiti wa mtaa wa sokola mary sumuni( Hali maarufu mama mchungaji ) kupitia chama cha maendeleo chadema akionyesha wazazi na wajumbe wa mtaa wa sokola juu ya ujenzi wa matundu ya vyoo eneo hilo.

KAHAMA,

Wajumbe wa kamati ya serikali ya mtaa, wa sokola wilayani kahama mkoani shinyanga wakataa ujenzi wa mashimo ya matundu ya choo kujengwa katika kipindi cha  masika katika shule ya msingi majengo.

Haliyoilibanika wakati wa mwenyetiki wa mtaa wa sokola  mary sumuni alipotembelea shuleni hapo kujua kero za shule na kubaini ubadilifu wa ujenzi wa matundu ya choo na kero kwa wazazi shuleni hapo .

Aidha mwenyekiti huyo alisema kuwa shule hii imekuwa na mingongoro ya mara kwa mara ya michango isiyokuwa na maelenzo ya kutosha toka kwa mwalimu mkuu wa shule ya majengo,masula japhet .

Akielenzea zaidi mwenyekiti huyo wa mtaa wa sokola alisema kuwa kwa kuwa sisi ni wajumbe wapya wa serikali ya mtaa ni lazima kujua vitu vyetu katika serikali ikiwemo shule hii na vitu vingine vinavyohusu jamii iliyopo hapa alisema sumuni.

Tulikumbaliana mashimo hayo ya choo yatakuwa na gharama ya shilingi laki sita,mawe tripu kumi ,au kumi na tano ,mchanga aidha mwenyekiti alisema kuwa shughuli hiyo yote inaghalimu kiasi cha shilingi milioni 6 michango ya wananchi wa kata ya majengo mtaa wa sokola.

“Hebu fikiria huu ujenzi gani wa wakati wa masika si nikupotenza fedha za wananchi hebu ona hapa kuna mawe tripu 3 za mawe wakati tulikumbalia tripu 10 mpaka 15 na eneo hili lina chemu chemu hebu ona haya maji yanavyotoka huu ni ubadilifu wa fedha za umma alisema mary sumuni”

Aidha mama moja Naomi mussa ambaye alipeleka shule motto wake alitozwa ada ya kuandikishwa kwa shule motto kiasi cha shilingi elfu ishirini na sita na alisema mimi sina kwa sasa ila nitalipa kidongo kidongo mwalimu alikata na kunifukunza eneo la shule na kusema chukua motto wako hapa kama una hela hizo.

“wewe hunakwenda kwa mwenyekiti wa mtaa hapa hunaleta mambo ya sias shule na mambo ya sias wapi na wapi,tuone sasa tena kama natawenza kukusaindi hii barua mimi siongopi wala huyo siyo mkuu wa kazi wewe toka nje hapo”Alisema mwalimu mkuu.

Aidha afisa Elimu wa halmashauri ya mji wa kahama Aluko Lukolela alipotafutwa  kwa  njia ya simu yake ya mkononi kuhusu suala hili alisema habari hizi nimezipata toka kwa mwenyekiti wa mtaa wa sokola  mary sumuni juu ya ujenzi wa mashimo ya choo na matundu hayo.

Akifafanua zaidi kwa njia ya simu nyenye aliomba tuwasiliane ofisi kwake nipashe ilikwenda ofisi na kukaa hapo bila kuoneka ili awenze kuzumgumuzi suala kwa muda wa siku mbili bila ya mafanikio.

Nipashe ilifika eneo la shule ya msingi majengo kuona hali hiyo ya ujenzi wa matundu na vyoo vya shule ilikupata ukweli kwa mwalimu mkuu na nyenye hakuwa tayari kuongelea suala hilo niendi kuona na afisa elimu ndiyo msemaji wa shule hiyo .

Aidha nipashe ilijione uchimbaji wa shimo hilo na kusitishwa kwa ujenzi huu toka kwa mwenyekiti wa mtaa huo wa sokola mary sumuni mpaka kiangazi mwaka huu ndiyo ujenzi huo uendelea kwa kuwa hiki ni kipindi cha masika alisema mwenyekiti huyo mary sumuni .

Mwisho.  
  





«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply