AKIPOKEA MAJINA
Katibu wa CCM Wilaya ya Moshi Mjini, Loth Ole Nesele(kulia), akimkabidhi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa fomu za ya majina ya wanachama 33,780 waliomdhamini kugombea Urais.
Mbunge
Mbunge wa Viti Maalumu, Namelok Sokoine(kulia) akiwa na Makada wenzake nje ya Ofisi za Chama hicho Mkoa wa Moshi jana wakimshangilia Mjini Waziri Mkuu wa zamani baada ya kuwasili.
Mombo
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akisalimiana na makada wa CCM eneo la Mombo, Mkoani Tanga walizuia msafara wake ili wamsalimie jana wakati akielekea Moshi jana.
Nyama Choma
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akichagua nyama choma eneo la Mombo, mkoani Tanga aliposimama kwa muda na kuzungumza na wafanyabishara na wananchi waliozuia msafara wake ili wamsalimie jana wakati akielekea Moshi jana.
Umati
Waziri Mkuu wa zamani,Edward Lowassa, akizungumza na wanaCCM nje ya Ofisi ya chama hicho Mkoa wa Moshi Mjini baada ya kukabidhiwa majina ya wanachama 33,780 waliomdhamini kugombea urais jana.nyama choma.jpg 3.4 KB/s - 236 KB of 1,332 KB, 5 mins left
No comments: