sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » KIBAMBA YAZIRISHA NGUVU YA UKAWA JIJI DAR

 Mgombea Urais kupitia umoja wa kati ukawa Edward lowassa mwenye nywele nyeupe akiwapungia wakazi wa jimbo jipya la kinana jiji dar
 Maelfu ya wananchi wa jimbo la kibamba waliofulika viwanja vya mabasi yaendayo mkoani
 UMMA wa wakazi wa kibamba wakiwa kwenywe stand ya basi wakimsubiri mgombea urais kupitia ukawa Edward lowassa jiji rdar
 Mbali na matukio mbalimbali  katika kituo hicho moja ya kijana moja wa kereketwa wa chadema akiwa amejipaka alama za chama hicho
 Melfu ya wananchi wa jimbo la kibaba wakisubiri mgombea kiti cha urais kupitia ukawa Edward lowassa

 Mgombea kiti cha Ubunge jimbo la kibamba  john mnyika
 Waziri mkuu mstafu Fredirick Sumaye akitoa sera za ukawa katika uwanja wa mabasi yaendayo mikoani eneo la mbezi
 Mgombea Urais wa ukawa Edward lowassa Akinadi sera ukawa katika jimbo la kibamba na kuomba kura wapingie ukawa na mgombea ubunge wa jimbo hilo
Mgombea Urais akiwa na  madiwani wa ukawa katika jimbo la kibamba huku akiomba kura kwa mgombea ubunge wa jimbo hilo,John mnyika

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply