| Mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu akimkabidhiwa Mkurungezi Mtendaji Wa Halmashauri ya ushetu Michael Matomora mwenge wa uhuru katika kijiji cha chona katika Halmashauri mji wa kahama |
| Moja ya mradi iliyofunguliwa na mbio za mwenge katika halmashauri ya ushetu mwaka huu hii ni moja ya Wodi ya wazazi |
| Kiongozi wa Mbio za mwenge wa kitaifa George Jackson Mbijima akikata utepe wa wodi ya wazazi Halmashauri ya Ushetu |
| Moja ya uzinduzi wa mradi wa chanzo ya ngombe ambapo mkimbiza mwenge kitaifa alizundua mradi huo |
| Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu |
| Mkuu wa wilaya ya ya kahama FADHILI Nkurlu Mwenye Kofia Nyeupe Kati ni Mkurungezi Mtendaji Wa Halmashauri ya Ushetu Michael Matomora akitoa maelekezo ya mradi Mbalimbali ya Mradi |
| ANGALIA PICHA ZA MATUKIO YA MIRADI USHETU |
| Moja ya bweni la wanafunzi wa shule ya sekondari |
| Kiongozi wa mbio za mwenge wa Kitaifa George Jackson Mbijima akikata utepe wa jiwe la mradi wa maji |
| Kiongozi wa Mbio za mwenge wa Kitaifa akifungua Bomba la maji kama ishara ya ufunguzi wa mradi wa maji |
| Kiongozo wa Mbio za mwenge George Jackson Mbijima |
| Wakifurahi mbio za mwenge |
| Mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu kati ni mkurungezi wa Mtendaji wa Halmashaurii ya Ushetu Michael Matomora kushoto ni mkuu wa polisi wilaya ya kahama |
| Mwenge OYEEEE |







No comments: