sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » USHETU WAPATA USHINDI WA JUMLA UTAWALA BORA NA UTOAJI HUDUMA BORA KWA JAMII ALAT TAIFA 2016

 Mkurungezi Mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu Mwenye sharti la mikono mirefu Michael  Matomora akishikizwa na baadhi ya watumishi wa halmashuri hiyo baada ya kupata ushindi wa jumla  utawala bora  na huduma kwa jamii mwaka 2016 AlAT  Taifa 

 Baadhi ya watumishi wakifuhai ushindi wao 

 Moja ya zawadi walizopata Halmashauri ya  Ushetu zawadi hiyo ilitolewa na  BANK ya NMB Makao makuu ya BANK HIYO jiji DAR Tracta Hilo lenye THAMANI ya Milioni 56


 Meneja wa Bank ya NMB  tawi la kahama mwenye suti akimpogeza Mkurungezi wa Halmashauri ya ushetu alikaa kwenye Terecta hilo  baada ya kupokea zawadi ya Terecta lenye thamani ya milioni 56 

 Ni Furaha tu hao ni watumishi wa halmashauri ya ushetu wakiwa na furaha kubwa baada ya kuzishida zaidi ya Halmashuri 179 nchi zima na ushetu kuimbuka mshidi na  kupata nafasi ya kwanza 

 FURAHA TU 

 MH mbunge wa jimbo la Ushetu Elias Kuandikwa akiwa na Mkurungezi wa ushetu Michael Matomora baada ya kukabidhiwa kwa Terecta hilo na Bank ya NMB 


 Furaha 

Hongera Hayo ni maneno ya muweka hazina wa ushetu kwa mkurungezi wao wa ushetu kwa ushindi huu mkubwa  kati ni Mwenyekiti wa ccm wilaya ya kahama 

Hongera Mkurungezi kwa kazi NZURI  kubwa 


 Hongera 

 Baadhi ya wanahabari wakimpogeza Mkurungezi wa ushetu 

 Hapa ni kazi tu na Furaha na kucheza Muziki  

Chezea Ushidi weeeee shapen hiyooooooo 

 Mbunge wa jimbo la Ushetu Elias kuandikwa Akimpogeza Mkurungezi wa ushetu kwa ushindi wa utawala bora 

 Mbunge wa  jimbo la Ushetu Mwenye Miwani Elias kuandikwa 


Misoso ile mbaya 

Furaha tu 

Watu walipata chakula na kunywa 

 Wakicheza muziki 

 Meneja wa BanK ya NMB tawi la kahama akipogeza Halmashauri ya ushetu kwa kuwa karibu sana nna wananchi na kufannya kazi vizuri 

Mkurungezi wa Halmashauri ya Ushetu Michael Matomora Akipogeza watumishi wote wa Halmashauri ya Ushetu kwa kufanya kazi kwa kushirikiana na umoja.

 MH mbunge wa jimbo la Ushetu Elias Kuandikwa Akiongea na wafanyakazi wa Halmashauri ya ushetu kwa kufanya ushetu kufahamika katika ulimwengu huu jambo likuwa ni geni kwa wajumbe wote wa ALAT Taifa 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply