sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » KIKAO KAZI KATI YA WATENDAJI NA WAKALA WA HUDUMA YA MISTU KANDA YA MAGHARIBI

kaimu meneja wa kanda ya Magharibi inayojumuisha mikoa ya Katavi,Tabora,Shinyanga na Kigoma  Akito maelezo kwa mkuu wa wilaya ya kahama Juma Ramadhani 

Mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu  akiongea na watendaji wa wakala mistu na watendaji wa halmashauri juu ya utunzaji wa mistu 

 Mweneja Msaidizi wa wakala wa mistu kahama  mwenyesharti Nyeupe  Mohamed Dossa   wakisikiliza maelezo vizuri katika kikao kazi 


 Mmoja wa  Watendaji wa wakala wa mistu wakisikiliza Hotuba ya mgeni Rasmi mkuu wa wilaya ya kahama juu ya utunzwaji wa mistu 


 Viongozi na watendaji wakisikiliza maelekezo juu ya mistu 

 Majandiliano yanaendelea kwa watendaji 

 Picha ya pamoja na mkuu wa wilaya ya kahama 

Afisa Misitu mkoa wa Shinyanga Billie Edmott alisema wizara ya Misitu inakabiliwa na uhaba wa mistu

KAHAMA

 Ushirikiano wa kiutendaji kati ya watumisi wa TAMISEMI na Wakala wa Misitu hapa Nchini TFS umetejwa kuwa njia bora ya kukabiliana na changamozo zinazokwamisha maendeleo ya Misitu hapa nchini .

Rai hiyo ilitolewa na Mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhili Nkurlu wakati akifungua Mkutano maalum wa wadau wa Misitu kutoka mikoa ya kanda ya Magharibi kujadili Changamoto na Mikakati ya utunzaji wa rasilimali hiyo

Nkurlu aliwataka watumishi wa Halmashauri kushirikiana na maafisa wa Misitu katika kuwa na ushirikiano wa karibu ambao ni chachu ya kuleta ufanisi na suluhisho la kudumu la usimamizi wa pamoja wa rasilimali misitu

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply