sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » MKURENGEZI WA MJI WA KAHAMA ATEKELEZA AGIZO LA DC HOSPITALI YA KAHAMA

 Mkurungezi wa Mji wa kahama Anderson Msumba
 
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya mji wa Kahama mkoa wa Shinyanga Anderson Msumba amemuondoa kwenye nafasi yake ya kazi mhasibu wa hospitali ya mji huo, Mirian Mwakasenge kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha.

Mwakasenge pia anatuhumiwa kuihujumu hospitali hiyo kwa kuingiza dawa zake hospitalini humo na kasha kuwauzia wagonjwa dawa zake binafsi badala ya dawa za hospitalini.

Hatua hiyo ya Msumba ni utekelezaji wa agizo la mkuu wa wilaya hiyo Fadhil Nkurlu ambaye hivi karibuni aliuagiza uongozi wa hospiali hiyo kuwawajibisha watu wote waliohusika kufuja fedha za mapato ya hospitalini na kusababisha kupungua kwa mapato kutoka sh. milioni 45-20 kwa mwezi.

Akizungumza na gazeti hili ofisini kwake jana Msumba alisema kuwa kutokana na agizo hilo la DC, uongozi wake ulifanya uchunguzi wa kina na kubaini chanzo ni mhasibu wa hospitali hiyo kuingiza dawa zake hospitalini na kuwauzia wagonjwa dawa zake binafsi.

“Hospitali ya mji inahudumia wagonjwa wengi sana na asilimia kubwa inahudumia wagonjwa wa halmashauri tatu za Ushetu, Msalala na Kahama mji pamoja na  wilaya jirani za Bukombe, Mbogwe, Nyang’hwale na Nzega lazima mapato yangekuwa juu lakini kwa sasa mapato yapo chini, hii inatokana na ubadhilifu unaazia kwenye uandikishaji wav yeti dirisha la malipo na inaonyesha Tehama inachengeshwa ili kufanyika kwa wizi,” alisema Msumba

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply