sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » KICHANGA CHADAIWA KUTUPWA KWENYE DIMBWI LA MAJI TAKA SIKU MOJA.

Kichanga muda mfupi tu baada ya kuzaliwa na kutupwa kwenya maji machafu  kahama 

 Afisa maendeleo ya jamii  akionyesha kichanga baada ya kufikishwa katika hospital ya mji wa kahama 

Monge Mdeka (30) Ndiye mama wa kichanga hicho cha siku moja baada ya kukitupa kwenye shimo la maji taka


KAHAMA

 mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Monge Mdeka (30) mkazi wa kata ya zongomela katika halmashauri ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga ametupa  mtoto wake wa siku moja kwenye dimbwi la maji taka.

Mkuu wa kitengo cha dawati la jinsia Koplo Ninael Kisangase akizungumza na wandishi wa Habari alioambatana nao katika tukio hilo alielezea kusikitishwa na kitendo hicho cha kikatili kilichofanywa na mwanamke huyo na kudai kuwa wanawake waenzake wanaadhimisha siku yao yeye ameitumia kutupa mtoto kwenye maji machafu.

Aidha Koplo Kisangase aliwambia wandishi wa habari kuwa alipokea taarifa za kutupwa mtoto kutoka kwa wasamaria wema na wenyeuchungu na watoto wakati     walikwenda katika eneo la tukio nakukuta mtoto mchanga wa siku moja anaelea kwenye maji machafu ndani ya dimbwi lililoko eneo la kijiji cha Bukondamoyo Kata ya Zongomela.

Pia Koplo Kisangase alisema kuwa mwanamke huyo anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Kahama kwa uchunguzi zaidi ili kubaini chanzo cha tukio hilo na akibainika kutenda kosa hilo kwa makusudi sheria 
 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply