sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » SERIKALI KAHAMA WAPAA ONYO KALI WATUMISHI WA IDARA YA AFYA

 Mkuu wa wilaya ya kahama Fadhiri Nkurlu Wakati wa kikao kazi cha watumishi wa afya katika hospital ya mji wa kahama kwa baadhi ya watumishi wa idara hiyo kukosa maadili ya utumishi 

Watumishi wa afya wakisikiliza maelekezo ya kikao kazi toka kwa mkuu wa wilaya ya kahama Fadhiri Nkurlu mjin kahama  

 tumekuelewa mkuu  hayo ni baadhi ya maneno ya watumishi wa afya wa hospital mji wa kahma 

tuweke kumbumbkumbu sahihi 

baadhi ya watumishi  wa afya kama unavyoona maelekezo ya mkuu wa wilaya kama yatafanikiwa kwa hilo jambo

 Tuko makini 






 Baadhi ya madaktali wa hospital ya mji wakahama Dr masasi mwenye shati nyeupe na mwenye shati ya mabaka ni dr magesa 

KAHAMA

SERIKALI wilayani Kahama mkoani Shinyanga imewatahadharisha wauguzi wenye lugha chafu wakati wanapotoa hutuma za matibabu kwa wagonjwa wanaokwenda kutibiwa katika hospitali ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga.



Tahadhal hiyo imetolewa leo na mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhil Nkurlu wakati akizungumza katika kikao baina yake na watumishi wa hospitali ya mji wa Kahama kilichofanyika katika ukumbi wa wauguzi.

Mkuu huyo wa wilaya amesema kuwa amekuwa akipokea malalamiko ya mara kwa mara juu ya manyanyaso wanayoyapata wakina mama wajawazito wanaofika katika wodi ya wazazi kwa lengo la kujifungua.

Aidha Nkurlu amesema kutokana na hali hiyo kuna umuhimu way eye kama kiongozi wa wilaya  ameona umuhimu wa yeye kujikita katika suala la afya ili wauguzi wawahudumie  kwa nidhamu wagonjwa wanaofika kwa lengo la kujifungua. 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply