sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WIZI WA VIFAA VYA UMEME TANESCO KAHAMA WASABABISHWA NA WATUMISHI WALIOPO KATIKA OFISI HIYO

Meneja wa shirika hilo  Mkoa Maalumu wa kahama King Fokanya 

meneja wa tanesco kahama king akionyesha wanya wa umeme ambazo umbwa na watumishi wake wenye m50

 Moja ya wanya ambazo zinaimbwa na watumishi wa Tanesco kahama wakishirikiana na walinzi 

 Wanya za umeme 

 Moja ya kifaa cha kupokea moto ambacho ni moja ya vifaa  kilichohalibika 

Meneja wa shirika hilo  Mkoa Maalumu wa kahama King Fokanya  akionyesha waandishi wa habari wanya ambazo zinazoimbiwa kila mara 


 Vifaa vya kupokea umeme  zikiwa nje ya eneo la ofisi kuu ya tanesco mkoa maalum wa Tanesco 

 Hizi ni baadhi ya nguzo zaidi ya mia tatu ambazo wakazi wa mji wa kahama bado mahitaji yao ni makubwa  zimekwisha sambazwa kwa wateja 

 Wanya Dil huu kahama 


KAHAMA

UKOSEFU wa vifaa vya kuunganishia umeme wateja ikiwemo nyaya pamoja na nguzo kwa wateja wa shirika la umeme(TANESCO) Mkoa maalum wa Kahama unasababishwa na wizi wa vifaa hivyo unaofanywa na watumishi waliopo katika ofisi ya shirika hilo iliyopo mjin hapa .

Meneja wa shirika hilo  Mkoa Maalumu wa kahama King Fokanya ameyasema hayo jana wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake nakuongeza kuwa hali hiyo inapelekea shirika kushindwa kuwaunganishia umeme wateja wake kwa wakati.

Amesema kuwa shirika hilo linakabiliwa na changamoto ya uhaba wa nyaya za kuunganisha nguzo hadi nguzo za mita 50 nakuongeza kuwa shirika likiwa linakabiliwa na changamoto hiyo watumishi wengine wamekuwa wakitumia mwanya huo wa kuiba vifaa hivyo pindi vinapopatikana hata kama vifaa hivyo ni vichache.

Ameendelea kusema kuwa lengo kuu la shirika la umeme(Tanesco) ni kutoa huduma ya nishati ya umeme kwa wateja wake,lakini mjini kahama lengo hilo limekuwa kinyume na badala yake watumishi wachache wa shirika hilo wamekuwa wakienda kinyume na malengo ya shirika kwa kuuza vifaa vya umeme.

Aidha amesema kuwa idadi ya wateja wa umeme wanazidi kuongezeka siku hadi siku hali hiyo ni kutoakana na mji wa kahama kukua kwa haraka na kuongeza kuwa matumizi ya vifaa vya umeme yanakuwa makubwa na kila wakiomba vifaa kwa idadi ya watu hujikuta vikupungua kutokana na wingi wa wateja.

Hata hivyo amesema kuwa tanesco kahama mahitaji yake ya nguzo ni zaidi ya 292 huku mahitaji yakizidi kuongezeka siku hadi siku nakuongeza kuwa jumla ya wateja waliunganishiwa huduma ya service line ya umeme wako 316.




​  


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply