Alisema kuwa mafanikio ya kuwepo amani mashariki mwa Ukrain yanahitaji kile alichokitaja mchakato wa mazungumzo na Urusi.
Bwana Volker na mjumbe wa zamani wa Marekani kwenye Nato na aliteuliwa kwenye wadhifa huo mpya mwezi huu.
Umoja wa Mataifa unasema kuwa zaidi ya watu 10,000 wameuawa tangu mzozo wa Mashariki mwa Ukrain ushuke mwezi Aprili mwaka 2014 mara baada ya Urusi kulimega eneo la Crimea.
Mapigano hayo yamesababisha zaidi ya watu milioni 1.6 kuhama makwao.
|
habari
Habari Za Mastaa
Michezo
simulizi za kusisimua
MOHABMATUKIO.BLOGSPOT.COM's Admin
We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Post
-
mkurungezi wa clouds fm ruge mutahaba akitoa maelekezo juu ya fursa tufanikiwe pamoja katika ukumbi wa hotel ya niteshi mjini kahama . ...
-
BAADHI YA MAKANDA WA CCM WAKIFURAHI UWEKWAJI WA JIWE LA MSINGI LA BARABA...
No comments: