By: Mohab Dominic
on 02:55
/
 |
Mkuu wa wilaya ya shinyanga josephine matilo akikabidhi mwenge wa uhuru mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu |
 |
Mkuu wa wilaya ya kahama Fadhili Nkurlu akikabidhiwa mwenge wa uhuru .
Watanzania wametakiwa kushiriki
katika kusimamia maliasili zilizopo katika maeneo yao na kupambana na wezi hasa
wa Madini kama rais Dkt. JOHN POMBE MAGUFULI alivyoanzisha mapambano
hayo.
Wito huo umetolewa katika kata ya CHELA Halmashauri
ya Msalala wilayani Kahama na Kiongozi wa Mbio za mwenge wa uhuru kitaifa, AMOUR HAMAD AMOUR wakati akitoa
ujumbe wa Mwenge wa Uhuru, baada ya Mwenge huo kuwasili katika
Halmashauri hiyo |
Tag:
habari
matukio
MOHABMATUKIO.BLOGSPOT.COM's Admin
We are.., This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
No comments: