sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Kimataifa Habari

habari

Habari Za Mastaa

Michezo

simulizi za kusisimua

» » » WAKANDARASI KAHAMA WALIA NA HALAMSHAURI

 Moja ya daraja kubwa ambalo limeondoa usumbufu kwa wakazi wa kata ya majengo na nyasumbi kahama 
KAHAMA 

SERIKALI Wilayani hapa Mkoani Shinyanga imeshauliwa kutumia wakandarasi wa ndani katika shughuli mbalimbali za ujenzi hali ambayo itaifanya serikali kuwabana wakandarasi hao pindi watakapokwenda kinyume na makubaliano katika mikataba kuliko wakandarasi wanje ambao upatikanaji wao unakuwa wa shida mara baada ya kazi.

Aliyasema hayo jana Mkurugenzi wa Kampuni ya Higen Construction Co Ltd Themistrocles Rwota wakati akizungumza na wandishi wa habari akiwa katika moja ya majukumu ya ujenzi wa daraja linalounganisha kata ya kahama mjini na kata ya majengo wilayani hapa.

Alisema kuwa serikali inatakiwa kutumia wakandarasi wazawa wa ndani katika kuijenga kahama nasio kutumia wakandarasi kutoka nje nakuongeza kuwa hali hiyo itafanya kila mkandara kufanya kitu kwa umakini huku akitegemea kupata kazi nyingine pindi atakapomaliza kazi.

Aliendelea kusema kuwa wakandarasi wa nadani kwa kipindi kirefu wamekuwa hawapatiwi kazi na halmashauri kwa kuogopa kufanya kazi chini ya kiwango na badala yake frusa hiyo wamelkuwa wakipata wakandarasi kutoka nchi za jirani nakuongeza kuwa laiti halmashauri zingelitambua wakandarasi wa ndani ndio wanawoweza kufanya kitu kizuri kyuliko hata hao.


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply